strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Mimi huwa nashanga sana hawa watuMtoa mada ana mawazo ya kushangaza sana nimeona niachane naye sidhani kama anamuelewa beyonce au anaielewa vyema google..
Sawa nduguSikulazimishi Kuamini Ndugu.
=Why dont I Trust this?Why I dont trust this?
Sawa=Why dont I Trust this?
Unachopinga Hapa Ni Kipi Mkuu?.Alafu amecopy kwa kijana mmoja anaitwa Godlisten Malisa.. Jamaa ndio kakamata namba ya Nyerere kule Facebook.. Anawadanganya watoto wa watu mpaka unaona huruma... Alafu dhana ndio hiyohiyo awe wa kwanza na aonekane anajua kila kitu
Thibitisha Uongo Hapo Ndugu Ili Nikuunge Mkono.yani kubwa zima linakuja na mifotoduka na kutuaminisha ni kweli wakati hata mtoto mdogo anaelewa ni picha za kutengeneza
Angefanya hivyo angeshaandika kwenye page zake za Instagram na Twitter ili apate waumini zaidi... Inaonyesha ni kwa jinsi gani hujui loloteUnachopinga Hapa Ni Kipi Mkuu?.
Mbona Kibwetele Aliweza Kuwadanganya Watu Na Akawachoma Moto Pale Uganda So Unachopinga Ni Nin Hapa?.
Kwmb Beyonce Hawez Kufanya Hivyo Au Vipi? Ebu Anayepinga Aje Na Hoja Asiishie Matusi.
Inaonekana hujaenda shule kabisa wewe...na hiyo simu unayotumia siyo ya kwako...na kama ulisoma basi ulifeli sanaThibitisha Uongo Hapo Ndugu Ili Nikuunge Mkono.
Cjui, Nieleweshe Mkuu. Bora Weye Unayetaka Kunifunza Mkuu.Mtoa mada inaonekana Hana exposure. Unaelewa maana ya fan base???
Dunia inaumwa. Tena moyo wa dunia ndio unaugua zaidi. Eeh Mungu uketiye mahali pa juu palipo inuka; uliyetukuka; mtakatifu wa watakatifu; Bwana wa mabwana; Mungu wa miungu tunaomba rehema mbele ya kiti chako cha rehemaDunia inaumwa
WHY TRUST THIS,I?=Why dont I Trust this?
Mkuu Umeongea Sahihi Sana, Tukumbuke Jambo1Si Kila Story Ni Uongo Au Kweli.Hizi blog zinawafanya watu wabuni story ili wapate vistors wengi kuongeza kamishina. Picha zipo edited. Editor kafanya Color correction lakn bado unaona tofauti ya mikono na kichwa.
Tuwe makini na hizi habari jamani. Hizi technology zitatufanya tuone mengi. Leo nimeona picha ya noti ya elfu 1 Nyerere amevua shati sababu ya joto la Dar.