Beyonce kaanzisha kanisa lake?

uzi wako umeongea upuuzi mkuu......
unaponda wachungaji wa makanisa ya walokole.......
uzi wako hauna maana ndomana umetolewa....na Moderator
msiulete apa........tafadhali
 
kwani hajaridhika na mziki wake tu jamani au haumlipi? mpaka kahamua sasa kwenda huko tena kunanini jamani?
kweli dunia INA mambo.
 
[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] nimwizi kama wez wengine hana lolote
 
=dhehebu
jambo hilo lipo mkuuuu
ni sahihi na hilo zehebu lake lina waumini pia....trust him
 
mkuu we unamuelewa vizuri huyo mdada?????
unajua kma ni agent mkubwa wa shetani/ibilisi???????
alikuwa mkristo zamani nw days ni jina2 ni devil uyo mdada.........
alikuwa illuminati sasa ni mungu😎😎😎😎😎
jay zee yeye freemasonry
 
Satirical news, wafia dini wataichukua kama ilivyo na kuanza ku preach utadhani ni kweli, watu bwana. Kweli naamini tu wavivu wa kufuatilia mambo, nimeshangaa leo pia mtu fulani msabato akaanza kutoa neno aki refer kwenye hii issue. Kwa kweli sikumchelewesha nikamwambia toa mfano mwingine maana hilo umechemsha na haujafuatilia.

Website ya the news nerd akishuka chini kabisa kwenye about utakuta maneno haya

The stories posted on TheNewsNerd are for entertainment purposes only. The stories may mimic articles found in the headlines, but rest assured they are purely satirical.

Mwenye akili na ajiongeze...
 
alikuwa illuminati sasa ni mungu jay zee freemasonry
mkuu
freemason ni devil......
na beyonce anavyovifanya ni kuchanganya watu na kuteka watu akili kwakuwa maarufu na watu wanarespect watu maarufu
na kuiga maisha ya watu maarufu,...so atapata waumini wengi tu watakaopotoka..........
kumbuka lengo kuu la shetani ni kupata wafuas wengi wa kwenda nao jehanamuuuu
 
Prosper C Manasse unasemaje kuhusu hii comment?
 
Daah mshkaji yani mpka unatwambia twende net wakati inaonesha kabsa sura ya beyonce bt mwili sio wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…