Hawa Watu Hutumika Na Shetani Kuipotosha Jamii Mkuu.kwani hajaridhika na mziki wake tu jamani au haumlipi? mpaka kahamua sasa kwenda huko tena kunanini jamani?
kweli dunia INA mambo.
Nashukuru Kwa Kumjuza Kwmb Huyu Dada Ni Agent Mkubwa Wa Shetan Tena Yeye Na Mumewe.mkuu we unamuelewa vizuri huyo mdada?????
unajua kma ni agent mkubwa wa shetani/ibilisi???????
alikuwa mkristo zamani nw days ni jina2 ni devil uyo mdada.........
mkuu kwa anaelewa haya mambo yako open mbona......vitu wanavyofanya watu wanaofatilia wanaona kawaidaNashukuru Kwa Kumjuza Kwmb Huyu Dada Ni Agent Mkubwa Wa Shetan Tena Yeye Na Mumewe.
Yote yawezekana kwenye Biblia
Upuuzi mtupu ! Yaani hata na wewe hauoni kuwa pics zote zilizowekwa hapo ni photoshoped ?[emoji57]Ninyi Ambao Hamuamini Ingieni Net Andikeni The National Church Of Bey, Mtapata Hadithi Nzima Hapo.
Kazi Ipo Wadau Ndo Imani Hizo
Ninyi Ambao Hamuamini Ingieni Net Andikeni The National Church Of Bey, Mtapata Hadithi Nzima Hapo.
Kazi Ipo Wadau Ndo Imani Hizo
Kweli Mkuu Mi Nadanganya Tu Hapa, Ukitaka Ukweli Nenda Net Andika National Church Of Bey.
Acha bange mkadanganyane na huyo mpuuzi mwenzenu Malisa huko Facebook.. Hiyo habari haijapostiwa kwenye reliable source yoyote zaidi ya viblog uchwara.. Wala kwenye pages za Beyonce mwenyewe hakuna hivyo vitu mnavyodanganyana
Wabongo wanafikiri kila kinachoandikwa Google ni ukweli mtupu hawajui kua hivo vitu wanavosoma vinaandikwa na bloggers uchwara wa AdSenseAcha mambo ya kitoto ndugu usitake kupotosha watu na net zako hizo unazozirudia rudia kuzitaja taja hapa? Ni nani kakwaaminisha kuwa kila unachokiona internet huwa ni cha kweli?
Alafu anasema bila aibu eti Google hivi upate hiyo habari hahahahaWabongo wanafikiri kila kinachoandikwa Google ni ukweli mtupu hawajui kua hivo vitu wanavosoma vinaandikwa na bloggers uchwara wa AdSense
Ni habari ya ukweli....ipo pia kwenye mtandao wa tumblAcha bange mkadanganyane na huyo mpuuzi mwenzenu Malisa huko Facebook.. Hiyo habari haijapostiwa kwenye reliable source yoyote zaidi ya viblog uchwara.. Wala kwenye pages za Beyonce mwenyewe hakuna hivyo vitu mnavyodanganyana
Hawa Wanataka Hii HabarinIandikwe Na Adimin Ndio Waamini Lakn Ipo Siku Watasikia Na Kujua Ukweli.Ashawah kukiri kwamba ye ni illuminat kwny kipind kimoja iv cha UK ila akusema chochote kuhusu jay Z, but tc confirmed hawa jamaa wako kwa satan
Acha bange mkadanganyane na huyo mpuuzi mwenzenu Malisa huko Facebook.. Hiyo habari haijapostiwa kwenye reliable source yoyote zaidi ya viblog uchwara.. Wala kwenye pages za Beyonce mwenyewe hakuna hivyo vitu mnavyodanganyana
Acha bange mkadanganyane na huyo mpuuzi mwenzenu Malisa huko Facebook.. Hiyo habari haijapostiwa kwenye reliable source yoyote zaidi ya viblog uchwara.. Wala kwenye pages za Beyonce mwenyewe hakuna hivyo vitu mnavyodanganyana
Na hasa ukijua yeye na mumewe ni wafuasi wakubwa na wawazi kabisa wa lluminati.Pia iv vtu vkitokea unaona kma mchezotu unaweza uciamini but haipo kimashara shetani anachukua ulimwengu