Beyonce kaanzisha kanisa lake?

Beyonce kaanzisha kanisa lake?

@@@@ et kama mbinguni dhambi zinahesabiwa kwa comparison basi pepo inanihusu.
 
ImageUploadedByJamiiForums1459246803.339127.jpg

mungu nicki, mungu riri na mungu queen bee.
Holy trinity
 
Sasa Beyonce ana tofauti gani na haya makanisa ya hapa kwetu?mbona kila mchungaji ana kanisa lake na redio station yake na anapiga nyimbo za. Kwaya ya kanisa lake na mahubiri yake na biblia wanazo tumia utakuta anataja andiko kwenye biblia alioshika yeye lakini hutoona huo mstari katika biblia nyingine mwisho utaambiwa kitabu hiki kinapatikana kwa shilingi elfu 20,huko marekani ni kawaida sana ndio tunakoenda huko soon tutaweka bible pembeni tumfuate lucifer direct.Wapigaji ni wengi sahivi.
 
Kwa Sasa Ni Kama Utani Ila Baada Ya Karne Kama Tatu Hivi Vizazi Hivyo Vitaamini Katika Mambo Kama Yeezus Na Beyism. Take It From Me
 
Naye Jay Z ataanzisha lake. Je huo kwao ni uwekezaji au kutaka sifa tu?
 
Kanisa alijaanZishwa n beyonce kanisa limeanzisha n fans wke 12 walikuwa wanakutana kila cku n kupata marijuana n kuimba nyimbo za queen bee km
 
View attachment 332619
1458998917736-jpg.332708

Umewahi kusikia kuhusu kanisa jipya linanoitwa 'The national church of Bey'?

Msanii Beyonce knowles wa Marekani ameacha maswali mengi baada ya kuanzisha kanisa lake na kuliita "The national church of Bey" means church of Beyonce.
Ambapo yeye ndio Mungu wa kanisa hilo na maelfu ya watu wanamuabudu kwa jina la "mother Bey"

Katika kànisa hilo kuna picha ya Beyonce akionekana na Vazi la yesu, na nyingine akiwa na vazi LA papa wa dhehebu LA RC.

Amekuwa akiitwa Mungu wa kike.. Na dini yake inaitwa "Beyism" ambapo pia wanatumia biblia yao inayoitwa Beyble, inamzungumzia Beyonce kama mwanamke mwenye uwezo wa ajabu kama Mungu na kuamua kumuita Goddess..

Dini hiyo ya Beyism ina waumini maelfu ambapo inaonesha baadhi ya wafuasi wa Mungu huyo Beyonce, watu maarufu kama Kanye west, Mariah carrey na wengine.

Tazama baadhi ya picha hzo

===================

Does Beyoncé Really Have Her Own Church? — It Appears So (well, sort of)
– “Beyism”, “Mother Bey”, and even the “Beyble” all seem to be real components of the National Church of “Bey” –
beyonce_church_church_of_bey_beyism.jpg

Beyonce's Church of Bey

Atlanta, GA — The rumors are true. The National Church of Bey, an organization that recently formed the new religion Beyism (based on pop star Beyoncé Knowles), is a real organization based in Atlanta, Georgia. Although Beyoncé herself is not believed to be a part of it, she is the foundation of it and has so far not made a statement denouncing it.

The church’s founder, Pauline John Andrews, recently stated, “We are very disappointed in the failure of the public to recognize the existence of a divine Deity walking among them. Deity’s often walk the Earth in their flesh form. Beyoncé will transcend back to the spirit once her work here on Mother Earth has been completed.”

They believe that Beyonce “sits among the throne of Gods”

He continued, “As our congregation continues to swell, we ask that you consider what is more real; an invisible spirit on high, or a walking, talking, breathing Goddess who shows you her true form daily? Beyoncé’s spirit is entrancing. We know that she was sent to this place to spread love, peace, and joy. While we do not believe Beyoncé to be the Creator, we recognize that she still sits among the throne of Gods.

There is a lot of false information being spread about our beliefs, but we will correct all of the vicious lie-tellers. As Beyoncé spreads her gospel through song and dance, her message provides uplifting, loving, and many times real-life happenings. We humbly ask you to respect our beliefs, just as you want those to respect yours. Open your mind to new possibilities and you will see, just as we did, that Bey is a true higher power. Surfbort!”

They have their own version of the Bible — the Beyble

He adds, “We have published the Beyble and it will soon be available for free to the public. Donations have poured in and we will soon have enough to build a temple in honor of Mother Bey. We will invite her to speak to her flock, once the doors are open.”

Reportedly, The National Church Of Bey is also looking to expand outside of the Atlanta area. According to them, they already have parishes popping up all over the United States, Canada, and England.

Their official web site can be found on Tumbler at:
The National Church Of Bey

Can you believe it? Can this really be happening?


Source: Does Beyoncé Really Have Her Own Church? -- It Appears So (well, sort of)

View attachment 332619
1458998917736-jpg.332708

Umewahi kusikia kuhusu kanisa jipya linanoitwa 'The national church of Bey'?

Msanii Beyonce knowles wa Marekani ameacha maswali mengi baada ya kuanzisha kanisa lake na kuliita "The national church of Bey" means church of Beyonce.
Ambapo yeye ndio Mungu wa kanisa hilo na maelfu ya watu wanamuabudu kwa jina la "mother Bey"

Katika kànisa hilo kuna picha ya Beyonce akionekana na Vazi la yesu, na nyingine akiwa na vazi LA papa wa dhehebu LA RC.

Amekuwa akiitwa Mungu wa kike.. Na dini yake inaitwa "Beyism" ambapo pia wanatumia biblia yao inayoitwa Beyble, inamzungumzia Beyonce kama mwanamke mwenye uwezo wa ajabu kama Mungu na kuamua kumuita Goddess..

Dini hiyo ya Beyism ina waumini maelfu ambapo inaonesha baadhi ya wafuasi wa Mungu huyo Beyonce, watu maarufu kama Kanye west, Mariah carrey na wengine.

Tazama baadhi ya picha hzo

===================

Does Beyoncé Really Have Her Own Church? — It Appears So (well, sort of)
– “Beyism”, “Mother Bey”, and even the “Beyble” all seem to be real components of the National Church of “Bey” –
beyonce_church_church_of_bey_beyism.jpg

Beyonce's Church of Bey

Atlanta, GA — The rumors are true. The National Church of Bey, an organization that recently formed the new religion Beyism (based on pop star Beyoncé Knowles), is a real organization based in Atlanta, Georgia. Although Beyoncé herself is not believed to be a part of it, she is the foundation of it and has so far not made a statement denouncing it.

The church’s founder, Pauline John Andrews, recently stated, “We are very disappointed in the failure of the public to recognize the existence of a divine Deity walking among them. Deity’s often walk the Earth in their flesh form. Beyoncé will transcend back to the spirit once her work here on Mother Earth has been completed.”

They believe that Beyonce “sits among the throne of Gods”

He continued, “As our congregation continues to swell, we ask that you consider what is more real; an invisible spirit on high, or a walking, talking, breathing Goddess who shows you her true form daily? Beyoncé’s spirit is entrancing. We know that she was sent to this place to spread love, peace, and joy. While we do not believe Beyoncé to be the Creator, we recognize that she still sits among the throne of Gods.

There is a lot of false information being spread about our beliefs, but we will correct all of the vicious lie-tellers. As Beyoncé spreads her gospel through song and dance, her message provides uplifting, loving, and many times real-life happenings. We humbly ask you to respect our beliefs, just as you want those to respect yours. Open your mind to new possibilities and you will see, just as we did, that Bey is a true higher power. Surfbort!”

They have their own version of the Bible — the Beyble

He adds, “We have published the Beyble and it will soon be available for free to the public. Donations have poured in and we will soon have enough to build a temple in honor of Mother Bey. We will invite her to speak to her flock, once the doors are open.”

Reportedly, The National Church Of Bey is also looking to expand outside of the Atlanta area. According to them, they already have parishes popping up all over the United States, Canada, and England.

Their official web site can be found on Tumbler at:
The National Church Of Bey

Can you believe it? Can this really be happening?


Source: Does Beyoncé Really Have Her Own Church? -- It Appears So (well, sort of)
Sio kila habari ya fb n insta una kurupuka unaleta jf kanisa lipo toka 2013/14 n wanZilishi wke wanajulikana embu soma vizuri
 
Dunia inaumwa. Tena moyo wa dunia ndio unaugua zaidi. Eeh Mungu uketiye mahali pa juu palipo inuka; uliyetukuka; mtakatifu wa watakatifu; Bwana wa mabwana; Mungu wa miungu tunaomba rehema mbele ya kiti chako cha rehema
Aaaamen
 
Moderator rudisheni ile thread yangu kuhusu unafiki wa binadamu katika imani maana kwenye ule uzi nilisema kabisa siku hizi kila mtu ni Nabii/kila mtu ni Mchungaji na nikaongeza kuwa hakuna biashara inayolipa kama kuanzisha huduma za kiroho.

Ule Uzi niliuweka hapa siku 3 zilizopita ila nahisi uliondolewa.Nakumbuka niliongelea wakristo na makanisa na pia waislamu na misikiti.

Naomba mrudishe ule Uzi wangu kwasababu hata Baba askofu Mokiwa nae aliongea baadhi ya mambo yaliyofanana na Yale niliyoyasema.

Rudisheni ili waliokuwa wananitukana na kunikejeli wajitafakari kama walinitendea haki.
Pengine umehamishiwa jukwaa la dini
 
Beyism ipo but haijaanzishwa na Beyonce na wala yeye hahusiki. Imeanzishwa na kikundi fulani cha watu ambao wanamuamini Beyonce kama mungu wa kike
 
Duuu!! Amazing nasema wote mashwetan,, hata kama siruhusiw kumhukumu binadam mwenzangu bt kwa hlo la kujifanya mungu mtu wacha niseme hao ni mashetaniiiii
 
Bila kujali ni habari ya kutunga au ya kweli
Bila kujali ni picha za kutengeneza ama la
Bila kujali mhusika alikanusha....
Kuna jambo kubwa sana la kujifunza hapa kwamba mambo ya kiimani yamefikia hatua ya kudhihakiwa kwa kiwango cha juu kabisa ...na imani iliyoathirika zaidi ni imani ya kikristo na madhehebu yake
 
Mungu atabaki kuwa Mungu, na Mwana wake atashuka upesi kulichukua kanisa
 
Back
Top Bottom