Beyonce, kumbuka umezaliwa na watu kama wewe na hii dunia umeikuta

Mwanadamu hata siku moja hatotosheka, kama shetani tu alipopewa kila kitu na Mungu mwisho akataka na yeye awe Mungu. Kuridhika ni tabia njema ya mtoto wa Mungu huku kujikweza ni tabia ya kishetani.
 
Hii kali kumesa walahi! Uwiii
 
Kuna watu wengi tu wanaabudu majitu ya Ajabu hapa duniani.
Mi sishangai kwani hata maandiko yameandika nyakati kama hiz kuwa zitakuwepo.
_Yupo wa Kuabudiwa mmoja tu JUU NA CHINI ya Jua nae ni MUNGU Tu.
Tena Mungu anaempa pumzi bure huyo demu wa Jay Z.
 
Aise pesa zikiwa nyingi zinakosa kazi.....[emoji45][emoji45][emoji45]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…