Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Hizo kazi za u-fest ledi si ndio sosho weki, ukija huku uswazi ndio kama kuhudhuria misiba kwa majirani and the like.
Ukiwa fest ledi sosho weki zinaongezeka tu maana nchi nzima wanakuwa majirani zako.
Ukiwa fest ledi sosho weki zinaongezeka tu maana nchi nzima wanakuwa majirani zako.
mmmmh.. Kongosho apo napata wasi wasi kama kweli 'ni maam wanyumbani tu' nadhani ana maissue kibao ya kikazi ya kifrst lady anatakiwa atimize......ma functions, meetings, nk...yuko busy mbaya
Ngoja wataalam waje hapa wa mambo ya marekani kina Nyani Ngabu ivi, japo najua ni mrepublican huyu, na wengineo