Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Solange?
Inakuwaje mwanaume anapigwa na mwanamke? Au walikuwa wanacheza?
They cant be serious
I wish to know what was going on between them . Maana yale mateke yaliyorushwa sio mchezo
Marekani ukimpiga mwanamke you're in deep trouble hata kama yeye ndiye mchokozi. Kuna jamaa yangu Mbongo alikuwa akiishi Houston,TX na mwanamke mweusi wa kimarekani, siku moja yule mwanamke alimletea za kuleta jamaa hasira za Kikurya zikampanda akampa nakos za kutosha. Demu akapiga simu polisi jamaa akaja kubebwa msobe msobe. Kwenda mahakamani jamaa akala mvua mbili na baada ya kumaliza kifungo akarudishwa na FBI mpaka JKIA.
Jay sio kwamba alishindwa kumpiga Solange, he would've had a lot to lose kama ange-retaliate. Aliamua kuuchuna ili asije kupata kilichompata Chris Brown. Kitu cha ajabu ni reaction ya Bey, she was suppose to put her sister in check. Or did Jay say or do something to annoy Bey and her sister decided to attack him?
Jigga sio chid benz hahahaaAmejiepusha yasimkute kama yanayomkuta chris brown..
Kwa wenzetu kumtwanga mwanamke ni kitu mastaa wanakiogopa
Tofauti na nchi.zetu .
Ts a gud thing he kept cool .
Na watu wala hawawezi kum-condemn ila angekuwa Jay Z kafanya the other way round. Zingeimbwa pambio dunia nzima.
That bitch is a psycho.
Ain't no THOT gonna put her paws on me like that without swinging back.
What kinda chickenshit is that? Had Jigga retaliated he'd been the one in the wrong even though he didn't start it. Funk that.
And what's up with Bey just standing there letting her little sister go psycho bitch on her husband like that without even making an attempt to restrain her?
Who does that?
Black America so bitter I don't know why ?hata Michelle Obama nae wanasema ana wivu wa ajabuKuna discussion kubwa sana inaendelea kuhusu black women..wanaonekana ni watu wenye hasira sana na wanaume wengi weusi wanawakimbia hapa marekani..i even my self run into one at homedepot it was strange hayo matusi nliyoambulia..wanasingizia malezi ya single mom na kukosa fathery figure but inazidi sasa..
Wana drama uwiiiii.hawana class at all kitu kidogo tu Dah kinaweza kikawa balaaaKuna discussion kubwa sana inaendelea kuhusu black women..wanaonekana ni watu wenye hasira sana na wanaume wengi weusi wanawakimbia hapa marekani..i even my self run into one at homedepot it was strange hayo matusi nliyoambulia..wanasingizia malezi ya single mom na kukosa fathery figure but inazidi sasa..