Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Kajirahisisha kaishia kuliwa uroda tena kweupeeee....Halafu anatoka hapo na tabasamu kuubwa eti wao ni wapenzi kumbe jamaa kamfanya pozeo tu!

She is one stupid girl kwa kweli!
 

crap! stupid!!
 
Kama ni maharage hata ya Mbeya yana afadhali kuliko huyu demu....
 
Jamaa wameua vibaya!

Kweli jamaa wamemwanika hata hana la kujitetea. Inaonekana kamera ilimlenga Bhoke zaidi maana huyo kidume haonekani labda sababu ya rangi yake ya mkaa zaidi. Ila jamaa alijikunja kiufaidisho tuseme ule ukweli eti eeh?

Hapa nashindwa kuelewa, hawa jamaa hawakujua kwamba makamera yanawafuatilia hata kama ni usiku? Bora wangeingia mvunguni. Alivyokuwa anajibizana na watangazaji wa Clouds majuzi alikuwa na sauti isiyo na haya, tena ungedhani kakaa huko miaka kadhaa! Nilishangaa anauliza 'Huko Tanzania sasa kuna mvua au jua?' Halafu akawa anatetea kwamba anaimarisha ushirikiano wa Africa Mashariki. Mimi sikuelewa mwanzoni, kumbe ha! Watangazaji wanamkebehi naye anajibu kwa madaha tu, ati atajua itakavyokuwa akifika Tanzania na mshikaji wake aliyekuwa naye nyumbani.
 
Aibu gani hii kailetea huyu msichana kafanywa live kabisa kha??? Aibu tupu
 
Yaani, nimefurahi mno kutoka kwake, alikuwa nalazimisha umaarufu kwa kufanya ufuksa na Ernst, beside she was so boring and that's why alikuwa anaitwa bhore-ke
 

contra bonos mores
 
mhh Bhoke kawakilisha Tanzania vyema....Ernes naye kawakilisha Uganda dk 2 hahahahahahahahah kazi kwelikweli
 
Wakati mwisho anawachakachua madada wa jirani zetu mlikuwa mnaona raha eeh. Mkuki kwa nguruwe......
 
Huyo alitakiwa apokelewe airport na vibao. Nadhani hata huko ofisini kwake EATV anagawa tu kama pipi! Nilidhani ni dada wa class kumbe mule mule!
 
Huyo alitakiwa apokelewe airport na vibao. Nadhani hata huko ofisini kwake EATV anagawa tu kama pipi! Nilidhani ni dada wa class kumbe mule mule!

Huyu mdada kanichefua kweli
Kwenye interview aliyofanyiwa BBA ambayo ipo kwenye BB VIP eti anasema kwa mtu ambaye hajawahi kushirik BBA ni ngumu kujua hali inavyokuwa kule ndani mpaka inafikia kufanya hivyo ila walioshiriki watamwelewa tu.

Shame on u Bhoke, kama ulijua huwezi kukaa japo week ulienda kufanya nini? Kweli tabia haijifich, na zile scene za kitandani ndo umejidhalilisha kupitiliza. Hata kufeck kwenye camera ameshindwa?? Duh! Ningekuwa mie hata kaz kwny tv ningeacha.

"Eti thnx Africa and Tz media for support" huon aibu????
 

He kumbe wewe hukuona wakifanya mapenzi? haya angalia mchezo hapa: WATCH VIDEO: Sex In Big Brother Africa Amplified House? (18+) | General Entertainment | Peacefmonline.com
 
Comments kutoka kwa waafrika wengine kuhusiana na kitendo cha Bhoke na Ernest

(Nafikiri kitendo cha kufanya kwenye Public TV kimewakera wengi, ingawa ni kweli tunaona katika movies,lakini inakuwa sio kwenye public audience)
 
Hivi huyu dada hakujifunza?



Naona sasa Waghana wameanza kututukana kwa sababu ya upumbavu wa mtu mmoja

Name: No wonder HIV is high in Tanzania
With this bad sexual behaviour, I am not surprise the HIV rate in Tanzania is so high. What a shame! Kwame Boateng

Mhh...
 
Shame on multchoice, shame on DSTV cause their making money out of this shit TV program. Hivi walitumia dawa ya penzi? Du dada zetu hawa ni vicheche hajabu hata kuzuga zuga tu, kamegwa free tena kavu kavu kesho unamuona anatangaza TV mie nazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…