Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Kajirahisisha kaishia kuliwa uroda tena kweupeeee....Halafu anatoka hapo na tabasamu kuubwa eti wao ni wapenzi kumbe jamaa kamfanya pozeo tu!

She is one stupid girl kwa kweli!
 
Sidhani kama kuna haja ya kupeleka washiriki wa kike kule,manake hawana ubunifu wowote kwani wanachojua ni kusex,then unajua mwanamke aliyewah kushinda ni mmoja na tena alijiheshim sana,sasa bhoke kadanganywa na ernest tena wakafanya mapenzi kavukavu,lotus naye eti ana lipiza,sasa mi najiuliza'je mpz wa bhoke atamwangalia vip mamake,babake? Mpenz wake je?je ernest atakuwa nae tena? Sawa pumzika mama! Manake wakati unafanya mapenz kavukavu then ukawa unaiskilizia ilikuwa inaniuma sana,je mpz wako alikuwaje hapo? Multichoice wasipeleke wanawake!

crap! stupid!!
 
Kama ni maharage hata ya Mbeya yana afadhali kuliko huyu demu....
 
Jamaa wameua vibaya!

Kweli jamaa wamemwanika hata hana la kujitetea. Inaonekana kamera ilimlenga Bhoke zaidi maana huyo kidume haonekani labda sababu ya rangi yake ya mkaa zaidi. Ila jamaa alijikunja kiufaidisho tuseme ule ukweli eti eeh?

Hapa nashindwa kuelewa, hawa jamaa hawakujua kwamba makamera yanawafuatilia hata kama ni usiku? Bora wangeingia mvunguni. Alivyokuwa anajibizana na watangazaji wa Clouds majuzi alikuwa na sauti isiyo na haya, tena ungedhani kakaa huko miaka kadhaa! Nilishangaa anauliza 'Huko Tanzania sasa kuna mvua au jua?' Halafu akawa anatetea kwamba anaimarisha ushirikiano wa Africa Mashariki. Mimi sikuelewa mwanzoni, kumbe ha! Watangazaji wanamkebehi naye anajibu kwa madaha tu, ati atajua itakavyokuwa akifika Tanzania na mshikaji wake aliyekuwa naye nyumbani.
 
Aibu gani hii kailetea huyu msichana kafanywa live kabisa kha??? Aibu tupu
 
Yaani, nimefurahi mno kutoka kwake, alikuwa nalazimisha umaarufu kwa kufanya ufuksa na Ernst, beside she was so boring and that's why alikuwa anaitwa bhore-ke
 
yani mngemsikia alivyokuwa ana hojiwa cloudz leo watangazaji wa kipindi cha jahazi wamemkejeli sana na swali la msingi nililo penda ni pale alipoulizwa sasa huyu mpenzi wangu uliyemuacha nyumbani ukirudi utamuambia nini hakika kachemka hata kuzungumza akashindwa nimemuonea huruma sana kachemkasana

contra bonos mores
 
mhh Bhoke kawakilisha Tanzania vyema....Ernes naye kawakilisha Uganda dk 2 hahahahahahahahah kazi kwelikweli
 
Wakati mwisho anawachakachua madada wa jirani zetu mlikuwa mnaona raha eeh. Mkuki kwa nguruwe......
 
Huyo alitakiwa apokelewe airport na vibao. Nadhani hata huko ofisini kwake EATV anagawa tu kama pipi! Nilidhani ni dada wa class kumbe mule mule!
 
Huyo alitakiwa apokelewe airport na vibao. Nadhani hata huko ofisini kwake EATV anagawa tu kama pipi! Nilidhani ni dada wa class kumbe mule mule!

Huyu mdada kanichefua kweli
Kwenye interview aliyofanyiwa BBA ambayo ipo kwenye BB VIP eti anasema kwa mtu ambaye hajawahi kushirik BBA ni ngumu kujua hali inavyokuwa kule ndani mpaka inafikia kufanya hivyo ila walioshiriki watamwelewa tu.

Shame on u Bhoke, kama ulijua huwezi kukaa japo week ulienda kufanya nini? Kweli tabia haijifich, na zile scene za kitandani ndo umejidhalilisha kupitiliza. Hata kufeck kwenye camera ameshindwa?? Duh! Ningekuwa mie hata kaz kwny tv ningeacha.

"Eti thnx Africa and Tz media for support" huon aibu????
 
Nani aliona live wanafanya mapenzi hadharani? Hivi ni nani hajui mapenzi yanafanywaje??... kupiga busu na pozi la mahaba ni kufanya mapenzi? Binafsi naona alikuwa sawa anaigiza movie..zile zote ni "NATO alliance" yaani "No Action Talking Only" ..

Ndugu zangu tuache kuwahukumu watu kwa mawazo yetu...Jihukumu kwanza wewe mwenyewe...

Binafsi tufurahishwi na Big Brother..lakini sitakubali kumuhukumu mtu kwa mawazo yangu...Ni yeye mwenyewe anajua kizuri na kibaya na pia kile alichofanya alifanya kwa mapenzi yake na sio kwa mapenzi yako wewe mtazamaji! Acheni fikra fupi!!!

He kumbe wewe hukuona wakifanya mapenzi? haya angalia mchezo hapa: WATCH VIDEO: Sex In Big Brother Africa Amplified House? (18+) | General Entertainment | Peacefmonline.com
 
Comments kutoka kwa waafrika wengine kuhusiana na kitendo cha Bhoke na Ernest

(Nafikiri kitendo cha kufanya kwenye Public TV kimewakera wengi, ingawa ni kweli tunaona katika movies,lakini inakuwa sio kwenye public audience)
Name: Adam
I pity u eve, u thnk dis is just sex, this is paganism of the highest order. What is all dis Big Africa thng about, exhibiting immorality? May God continue to show mercy, Shame Africa! dis is indeed disgusting. Bitch! or Doggish! Repent!!!!

Name: David
May the Lord have mercy on these paragons of immorality. They need to repent else punishment will overtake them all one day, just as it did to Sodom and Gomorrah. He who punished Sodom and Gomorrah has His holiness and hatred for sin very intact as it has been since creation....They have to REPENT else...

Name: MISS A
THIS BB IS SERIOUSLY WRONG, VISIT THE BB WEBSITE AND U'LL KNOW, IT IS REALY BAD,BIGGY PLEASE PUT YOUR HOUSE IN ORDER, KOS DIS IS NOT AFRICAN CULTURE, DOGISH BEHAVIOR IS NOT ALOWED HERE,THANKS AND SHAME ON YAH!!!!!!!!

Name: KY
TOO BAD AFRICA!!!. WE ARE NOTED FOR DECENCY AND RESPECT.WHY DO WE WANT TO ABANDON THEM? THIS ACT IS INDEED VERY SHAMEFUL AND MUST NO BE ENCOURAGED.

Name: Kofi
Cry our beloved continent. See what your people are doing to harm you. I know this is all that beauty peagents miss so so and are about. I have vowed that none of my sisters and my wife will ever take part in any of these immoral ans shamful context whatsover. Shame onto you big brother or whoever.

Name: papa
peace fm, shame unto you, are u making your site now a pornography site. please clear all things fast

Name: nathjoe
where from all this disgrace??? Is only those who don't have anything doing with their credit will vote to keep this shit up. And if u have voted for this programme before, pray for forgiveness because u r promoting prostitution. Turning respected Africa to shameless Africa.

Name: Noko Fioo
NOW ITS ABOUT TIME THIS SO CALLED BIG MOTHER****ING BROTHER AFRICA MUST BE BANNED. WHAT A **** ARE WE TEACHING OUR YOUNG TEENAGERS? TO HAVE SEX IN PUBLIC TV VIEW? JESUS!**** THAT. AND LET ME TELL MOTHER****ING MULTICHOICE AND DSTV THAT THERE ARE SEVERAL WAYS THEY CAN MAKE MONEY NOT THIS SOUTH AFRICAN BULLSHIT ****ING TV SHOW. IT REALLY SUCKS. AFRICA UNION ARISE FOR YOUR CHILDREN ARE BEING SHOWNED HOW TO **** IN PUBLIC DSTV PROGRAM. AFRICA ARISE!

Name: KaB
A 28 year old Public Relation Consultant (ERNEST) having sexual intercourse with a 26 year old TV Broadcaster (BHOKE)in "public", WOW!

Name: eve
heeeloooo! they just had sex thats all. its SEX as in intercourse. what is the big deal about this?
 
Hivi huyu dada hakujifunza?


Name: Imran
If a woman(bhoke) who told her story of how her boyfriend abandoned her when she was pregnant can not learn from past mistakes and sill come up on national tv to cheapen herself like a ***** to an idiot boy (Ernest) who she doesn't know shit about excerpt for the lies he was feeding her wt. U are a slot have proven Karen right.

Naona sasa Waghana wameanza kututukana kwa sababu ya upumbavu wa mtu mmoja

Name: No wonder HIV is high in Tanzania
With this bad sexual behaviour, I am not surprise the HIV rate in Tanzania is so high. What a shame! Kwame Boateng

Mhh...
 
Shame on multchoice, shame on DSTV cause their making money out of this shit TV program. Hivi walitumia dawa ya penzi? Du dada zetu hawa ni vicheche hajabu hata kuzuga zuga tu, kamegwa free tena kavu kavu kesho unamuona anatangaza TV mie nazima.
 
Back
Top Bottom