Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Simshangai Bhoke maana ameonyesha her true colors, nimepata kusikia habari zake toka kwa watu aliosoma nao Tumaini University Campus ya Dar, inasemekana huyu mtoto ni kicheche mbaya na uzuri wake ni kwamba neno "hapana" halipo kwenye kamusi yake.,halafu eti kwenye profile yake alisema "she cant do sex for money".....ptuuuuu!, unafiki mtupu.
 
mwacheni jamani, kidude ni chake wala hamna anayemsaidia kuvuja damu ya mwezi.

Mkuu hilo tusi baya sana kwa jinsia ya kike! hukuona other words?? Its a natural thing MP and it is a reason why women live longer n resist a lot of magonjwa, I am proud to have that monthly n though cant control it missing during menopause will make me sick of pains of missing it
 
Aliyekutanguliwa yeye BIG alipata bwana wa Nigeria,Je wewe Bhoke unakwenga Uganda au ulikuwa unatoa tu
 
mimi walioniudhi ni wle waliosema tumuombe mungu....
i was thinking huyo mungu atanichukuliaje?????

eti tumuombee mungu asitoke...

si ndo mwanzo wa mungu kukukasirikia??????????
na kujitafutia mikosi

Bora mimi ambaye huwa siangalii hayo madubwasha mnayaita Big Brother wakati na Masister wapo humo humo, that is kingdom of Devil.
Hata hiyo link iliyowekwa hapa na mtoa mada sijaifunguwa kwanza itanimalizia internet bundlle yangu unnecesary.
 
Hii ni aibu ya mwaka! Nasikia huyu ni mtangazaji wa TV fulani Dar. Employer wake akiona hii itakuwaje? Atarudi tena kuwa mtangazaji kweli?! Shame on you girl!
 
wanawake hua wanapenda sana kulaumu wanaume kwamba tu wadhaifu mara tunatoka nje ya ndoa na kwa hili linathibitisha nini??hii hali ni 50%50%kila mtu ana kiu ila kwa hili dada kazidisha mbele ya media
..Ngoma draw hiyo mzee njaa inaposhika kasi hakuna cha mwanaume wala mwanamke mapigo ni yale yale tu!!:becky::mwaaah:
 
watu waongo sana hakuna aliyafanya mapenzi....again, its a game...let those girls be....!!! i like people who are real and daring!!!

aiseee dear hata mimi napenda watu real and daring ila sio kwa hili la bhoke..

plz watch this yutube video and tell me kama ndio kioo chetu kwa jamii kinatakiwa kiwe hivi, hapo shuka limesaidia but still kama alijua kamera zipo anawezaje kufanya mchezo huu?


angalia anavyoliwa hapahttp://www.youtube.com/watch?v=MZYwPPU9ZCo
 
5 connect the real connection! Nilimdhania n m2 classic, alaf juz juz tu kapata mtoto. Kajiharibia sana. Kiukwel namuonea huruma huyu dada.
 
Ati waandaaji wa Tanzania ''waliona ana kitu cha ziada'' ndo maana walimchagua.

Yes, waliona ana chembe chembe za uchizi na uchangu -DO
 

huu ni ushenzi tu,watz hatuna utamaduni wa namna hii,kufanya ngono live dunia nzima inakuona, hatuna huo utamaduni kabisaaaaa,ama lengo lake lilikuwa ni kuichafua TZ?
hana maana kabisaaaaaaaa,yaani michezo mongine hakuiona aliona ngono ndio la maana kwake

na kama walijuwa kuwa kuna kamera zaidi ya 20 inamaanisha alifanya mapenzi kwa kujuwa kabisa kuwa wazazi wake wanamwona jinzi anavyo katwa,umewaaibisha wazazi wako na taifa
 
Hivi zile bendera wanzoshika si ni kuonyesha kuwa wanaiwakilisha nchi na ndio maana alikuwa anaomba wa-Tz wamsapoti.

Halafu unaona anavyoongea kwa huzuni, nafsi inamsuta anajisikia vibaya kwa kuwa mambo yake yako hadharani. si muhukumu kwa kuwa kila mtu ana dhambi zake, anayehukumu ni Mola. bado ana nafasi ya kujirudi na kukengeuka.

Pombe mbaya jamani, zimepelekea tamaa mwisho akawa mdebwedo. Sasa matokeo yake wazazi nao wanasononeka, kaka zake kama wapo huwezi kuwatizama machoni kama ndio walikuthamini sana thamani nayo inapungua na wengine watakususa kama wapo wenye msimamo mkali kisa ni hayo mambo hadharani bora angefanya hayo yote halafu akashinda wangefunika kombe mwana haramu apite.

Pole wangu maisha yanaendelea jipange tu sawasawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…