engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Mods, Naomba sometimes kwa issues kama hizi rules za JF ziwe zinaruhusu kutukana.
kwa mara ya kwanza mpaka katikati
ya video mablanketi yametulia tu mpaka
kuleeee karibu na mwisho ndo yakaanza
kupiga push ups mmmhh
halafu hakuna hata sarakasi
ticket silipi wacha nisione hiyo movie..
Na kama wameamua kuonyesha
si bora waonyeshe kitu cha maana
au wasionyeshe kabisa
..mimi si pendi danganya toto..
warudie tena..
napita jamani.
napita jamani.
Hakuna maigizo pale!!MMh..labda alikuwa anaigiza..sidhani kama kweli wali-du
na kweli alienda kufanya haya hapa chini
YouTube - ‪Ugandan Ernest eats Tanzanian Bhoke in bigbrother‬‏
Hakuna maigizo pale!!
Kule kwenye Jaccuzi ni kama alijiexpress!Nasikitika kwa nini hakumpa huyo Mganda ajiexpress lol
Jamaaa kakomaa na kifo cha mende
Unakuja Regency au umeamua kwenda Agakhan?
Ahahahahaah!! Halafu jamaa anasema eti ni maigizo.....lol!!Umeona jamaa wakati anatoa juice alivyo ongeza speed ka Mbwa
labda walihisi ana nyege za ziada,Ati waandaaji wa Tanzania ''waliona ana kitu cha ziada'' ndo maana walimchagua.
Yes, waliona ana chembe chembe za uchizi na uchangu -DO
Ahahahahaah!! Halafu jamaa anasema eti ni maigizo.....lol!!