Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Ahahahaaah!! Eti Shaba ranks.....!! Bora yule kuliko huyu...ha! ha! ha! bora 'shaba ranks' angebaki kuliko huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahaaah!! Eti Shaba ranks.....!! Bora yule kuliko huyu...ha! ha! ha! bora 'shaba ranks' angebaki kuliko huyu
Kipindi kitakosa mvuto kabisa...Hii ni aibu ya mwaka! Nasikia huyu ni mtangazaji wa TV fulani Dar. Employer wake akiona hii itakuwaje? Atarudi tena kuwa mtangazaji kweli?! Shame on you girl!
.....weweee!! usifananishe gemu za Katavi rangers na hawa malaya!!yah hata game yenyewe kama Lipuli an katavi rangers,Ernest ni poor perfomer hakukuluki nilitegemea na ukame wao ule jamaa angepiga ile nje ndani 200 mpaka mashine inawaka moto
Hivi kumbe ana mtoto??5 connect the real connection! Nilimdhania n m2 classic, alaf juz juz tu kapata mtoto. Kajiharibia sana. Kiukwel namuonea huruma huyu dada.
usiiondoe, hamishia jukwaa la wakubwaMOD IONDOE HAPA HASA WAZAZI WA HUYU CHA****U ni lazima wanaumia na kuina aibu Na bahati mbaya ni dunia nzima imeyaona haya!!! MOD NAOMBA UIONDOE HAPA LABDA ZE UTAMU IFUFLIWE IWEKWE HUKO
Aisee upumbavu hauna ujazo haina majotro ikae hapa hapa sia lifanya akiwa mbele ya kamera zinazoonekana dunia nzimausiiondoe, hamishia jukwaa la wakubwa
na kweli alienda kufanya haya hapa chini
YouTube - ‪Ugandan Ernest eats Tanzanian Bhoke in bigbrother‬‏
Its true. Yule alikuwa mapepe tu lakini hakuwa maharage ya Mbeya kiasi hiki.Ahahahaaah!! Eti Shaba ranks.....!! Bora yule kuliko huyu...
Tena alikuwa mume wa mtu na pete ya ndoa juu! Akimtamkia bidada 'I love u ' hiyo ni adultery!