Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 100
Ha haaaaa wagonvi utawajua tu.Mods, Naomba sometimes kwa issues kama hizi rules za JF ziwe zinaruhusu kutukana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haaaaa wagonvi utawajua tu.Mods, Naomba sometimes kwa issues kama hizi rules za JF ziwe zinaruhusu kutukana.
hivi kama bhoke ni stupid
na wliotuambia tumpigie kura na kumuombea mungu asitoke
tuwaite voipi???????????????
BBA is immoral and exploitativeIts soo sad, shame to all of them!
mwenye dada.......
sasa uchungu wa nini wa tz? ha ha ha - BHOKE we endelea uje na hizo pesa dadangu, achana na wabongo kwani wao hawafanyi?
Asimame mtu msafi tumwone hapa - acheni hizo.
StivieD kasema hakufanya mapenziKwa uchafu huo hapo juu nadiriki kusema kwamba mimi ni MSAFI na najitokeza na kusimama kifua mbele.........
ha! ha! ha! bora 'shaba ranks' angebaki kuliko huyu
I wish Lotus angebakia. Alikuwa mcharuko lakini hakuwa maharage ya Mbeya kama dadake.
Nani aliona live wanafanya mapenzi hadharani? Hivi ni nani hajui mapenzi yanafanywaje??... kupiga busu na pozi la mahaba ni kufanya mapenzi? Binafsi naona alikuwa sawa anaigiza movie..zile zote ni "NATO alliance" yaani "No Action Talking Only" ..
Ndugu zangu tuache kuwahukumu watu kwa mawazo yetu...Jihukumu kwanza wewe mwenyewe...
Binafsi tufurahishwi na Big Brother..lakini sitakubali kumuhukumu mtu kwa mawazo yangu...Ni yeye mwenyewe anajua kizuri na kibaya na pia kile alichofanya alifanya kwa mapenzi yake na sio kwa mapenzi yako wewe mtazamaji! Acheni fikra fupi!!!
<br />wewe umejuaje kama ni dakika 5 tu walizotumia?
Kumbe huyu Bhoke kila mtu alimuona hana adabu..nilifikir ni sisi tu watanzania, kumbe waafrika wote
SOma hapa kwenye hii linki halafu angalia upumbavu wake kwenye video
SHAMELESS bhoke and ernest sex full
Pamoja na kumlaumu Bhoke kwa aliyoyafanya ndani ya jumba la BBA, hapo kwenye Red ndio pamevuta zaidi hisia zangu.,binafsi naamini kuwa huyu binti hakutumwa kwenda kuwakilisha Taifa na wala alikuwa hawakilishi Tanzania kama nchi isipokuwa tu alikwenda mwenyewe kuganga njaa yake, kuna tofauti kubwa kati ya BBA na mashindano ya kimataifa ambayo timu zetu na wanamichezo wengine wanakwenda kushiriki, BBA haina faida yeyote kwa taifa tofauti na michezo mingine kwani lengo lake ni kumnufaisha mtu mmoja tu kwa maana ya huyo mshindi.