Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

inasikitisha. tunafanya ngono lakini si katika mazingira kama haya
 
Ahahahahaah!! Halafu jamaa anasema eti ni maigizo.....lol!!

Maigizo gani yale mkuu? mwishoni tunaona kabisa jamaa anazungusha kiuno kama feni.. mambo ya orgasm yale aisee.. na anaonyesha alikua nanyege za haja
 
Maigizo gani yale mkuu? mwishoni tunaona kabisa jamaa anazungusha kiuno kama feni.. mambo ya orgasm yale aisee.. na anaonyesha alikua nanyege za haja
<br>Kuna jamaa anasema eti walikuwa wanaigiza...
 
Huyu demu atakuwa live leo kwenye kipindi cha JAHAZI cha Clouds FM mwenye kuweza ku rekodi arekodi aweke hapa

Hili ni wazo la mpwa wako Yo Yo ngoja akitoka likizo,nafikiri mkuu wanadada wa tanzania wanapenda kuchapwa nao na ndunde ambazo hazijatahiriwa

Nilimsikia jana akihojiwa JAHAZI anadai hajutii kile kitendo cha kumegwa alifanya kwa maamuzi yake binafsi
 
Mkuu umeona jamaa alivyopiga fasta approximately 5minutes halafu hakutaka style za ajabu sana

Yeah niliona wkt anakaribia kumwaga chozi alizidisha speed kama Mama Nzawisa.

Alijipendelea kifo cha mende tu wazungu wanasema missionary style

Kwa pale Mganda alikuwa katika opportunity ya kujiexpress kabisa anatelezeshea tu kimtindo
 
Nilimsikia jana akihojiwa JAHAZI anadai hajutii kile kitendo cha kumegwa alifanya kwa maamuzi yake binafsi
kauli za kijinga sana. Nakwambia we subiri joto lipoe. Ndani kwa ndani anaungua huyo ila ni sie hatuoni ya moyoni tu
 
kauli za kijinga sana. Nakwambia we subiri joto lipoe. Ndani kwa ndani anaungua huyo ila ni sie hatuoni ya moyoni tu

Anasema kila mshiriki lazima uwe na kitu cha kibunifu naona yeye ubunifu ulikuwa kuliwa uroda kwa kifo cha mende
 
Charity begins at home, hii tabia atakua ameitoa kwa wazazi wake au kutokana na vinasaba vya familia yake, kufanya mapenzi hadharani kama nguruwe, na haya wani wengine


wandugu, please reserve her parents from this shameful act. Parents/ndugu have done their best...... kiranga ni chake jamani, amejitia mjuaji sana, care free, without realizing her position......pole dada, umevuna ulichopanda
 
Duh dada kabore sana. Anaulizwa vipi anasema eti hajaenda kuwakilisha Tanzania. Kuhusu jamaa kumdo live wakati anajua anamtu wake anasema hiyo ni private life yake atayamaliza na jamaa yake. Kuhusu huyo Karamajong anasema ana life plan naye. Kama umekaa na mtu zaidi ya mwaka unaona hana life plan then uliyekaa nae 3 weeks ndio atakuwa na life plan? Anauliwa vipi ameona clips au taarifa zake kwenye mitandao ya kijamii anadai hajafuatilia, then it is obvious siyo mtu updated. Then kama jamaa alikuwa anampenda angemdo for only 5:32 minutes, hiyo inadhihirisha jamaa is not a lover but a ****er. Pole sana Bhoke to be so cheap.
 
anashangaza anavyojishebedua na aibu ile alliyojipa...cjui family member walioona ile video clip wanamtazama kwa jicho gani...na hkama alikuwa na bf hapa ni bora jamaa auchune tu maana ni fedheha kwake
 
Wana jamvini binafsi...sijawahi kuwa mpenzi wa Big Brother toka imeanzishwa..Najua yapo mazuri yanayoweza kupatikana kutoka katika Big Brother,lakini kuwepo kwa matendo mabaya ambayo hayafai kuonekana kwa TV kumenifanya nisivutiwe kabisa na Big Brother..Hawa dada zetu kwenda kwenye Big Brother na kufanya matendo ya ngono kunamaanisha nini? je kuna maanisha watanzania wanajivunia ngono? au ni tabia ya hawa wadada kuwachukulia hawa watu wanaokutana nao Big Brother matawi ya juu,hivyo wanalainika kulala nao ili pengine baada ya Big Brother anaweza kuwa amejipatia mwenza? au hapa Bongo hawapati wanaume hivyo wakienda Big Brother ndio hasa wanachokihitaji(top priority)?...Binafsi naona tabia hizi zinatuletea sifa mbaya kama taifa,na hata kama akienda mwanaume kule sioni sifa yoyote tunayoipata akishiriki ngono na mwanamke kutoka Taifa lingine...Kama ni hamu,zimalizeni kabla ya kwenda Big Brother mnaitangaza nchi yenu vibaya!!
 
Back
Top Bottom