mh! halafu hao ndo watu ambao tunathubutu kuwaweka runingani kutangaza. mh!Anasema kila mshiriki lazima uwe na kitu cha kibunifu naona yeye ubunifu ulikuwa kuliwa uroda kwa kifo cha mende
Baada ya hawa kina "Mficha uchi hazai" Bhoke na "Shaba Ranks" Lotus kutudhalilisha then unapokea ujumbe huu...
Hello, u r cordially invited to Big Brother Amplified Bhoke and Lotus homecoming party tonight at Mafian Fish Lounge frm 9pm. khaaaaaa... thuuuuuu...
Lakini tusisahau mtoto umleavyo ndio akuavyo, na mtoto ni barua ya nyumbani. Kwa hiyo haya yaliyoajili kwa bint, dada yetu Bhoke tosha inatuonyesha alivyolelewa na mama yake.
Kama mwajili wake ana maadili, basi huyu hastahili kuwa mtangazji tena kwani yeye anatakiwa awe kioo cha jamii. Yeye anatakiwa afukuzwe kazi aende kuajiliwa kwenye wacheza picha za ngono. Ni aibu kubwa saana kwa wanawake na akina mama wa Tanzania, nini cha kujivunia hapo? yaani unafanya ngono in public?
JANA nilimuoana uyu mdada alicheza x-movie bba na mchizi wa ug,pale FNL Chanel five jamani iyo ni confidence au anajishogondoa tu kupotezea kamchezo kake?na akirudi kurusha kile kipindi chake cha five connect basi ata uyo boss wake itakua hamanazo au wana JF nyie mwaonaje?