Usijuitie sawa tu Bhoke ni p...y yako ndio ila ungefocus mbali badala ya hizo nyege mshindo za dakika usingefanya hivyo, ungekumbuka kuwa kazi yako unayofanya inahusisha jamii ya vijana si wazee usingejilegeza hivyo Bhoke, ndio kuna tamaa za mwili ila binadamu tuna akili ya kufikiria jambo, kila nikiiangalia ile clip naumiaa sana sikujui wala sikuwahi kukuona popote pale zaidi ya BBA, niliposikia ni mtangazaji wa TV niliuliza ni TV gani na kupata jibu, ungejipa dk 1 tu ya kutoka pale kwenye jakuzi na kupata hewa safi ungevaa chupi yako vizuri, utafundisha wadogo zetu kuwa nyege hazizuiliki or?? Jitetee uwezavyo ila BHOKE UMETUTIA AIBU WANAWAKE WENZAKO PERIOD!