Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Mimi hata kuangalia nimeacha, kinachoendelea huko huwa nasoma hapa JF maana waTZ wanatia kichefuchefu na ukizingatia mila zetu!!!!
 
Nahisi huyu dada alikuwa naha boyfriend permanent hapa town so alikuwa ana kijela(Hamu) ya kufa mtu alipofika kula akajua kabisa lazima apate mtu wa kumkuna. LKN dah unatafunwa live na watu wanaona khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hivi kuna mwanaume atachukua jumla kweli hapo?
 
Usijuitie sawa tu Bhoke ni p...y yako ndio ila ungefocus mbali badala ya hizo nyege mshindo za dakika usingefanya hivyo, ungekumbuka kuwa kazi yako unayofanya inahusisha jamii ya vijana si wazee usingejilegeza hivyo Bhoke, ndio kuna tamaa za mwili ila binadamu tuna akili ya kufikiria jambo, kila nikiiangalia ile clip naumiaa sana sikujui wala sikuwahi kukuona popote pale zaidi ya BBA, niliposikia ni mtangazaji wa TV niliuliza ni TV gani na kupata jibu, ungejipa dk 1 tu ya kutoka pale kwenye jakuzi na kupata hewa safi ungevaa chupi yako vizuri, utafundisha wadogo zetu kuwa nyege hazizuiliki or?? Jitetee uwezavyo ila BHOKE UMETUTIA AIBU WANAWAKE WENZAKO PERIOD!
 
Ntashangaa sana kama EATV kama bado watampa aendelee na kuwa host wa kile kipindi cha vijana
 
Hivi tatizo ni mfumo dume au? Mbona Richard alifanya au haikua live kama Bhoke au kwa sababu alishinda au wanaume wakifanya ruksa wanawake ndo inakua haramu.
 
kwenye page yake ya face book ame post hivi
"If I had to do it all over again,I won't change a thing."
Anapo sema hajutii je it real wazazi wake wako proud with this? what about watoto wake sabubu hii itakaa kwenye net milele ukisearh bonke unakutana na mautumbo yake je watoto wake watakuwa proud na hili?
Kwa namna alivyokuwa anaendesha kile kipindi sikutegemea kama anaweza fanya cheap sex kama ile mbele ya macho ya dunia na anasema hajutii
kama hajutii kweli basi she is a cheap *****
naamini angetumia akili kidogo kufikiria impact yake asingfanya lakni akaweka mbele tamaazake za kijinga,
 
Bhoke ni reflection ya mashori wa kibongo......
 
Anajuta sana,hata sitegemei kama ataongoza ule mjadala wake wa kushauri vijana pale Eatv,5connect..


huo ni ukweli mtupu priest!
kweli siwezi kusema huyu binti ni kahaba ila ninachoweza kumshauri Bhoke au mtu wake yeyote wa karibu ni kwamba awaombe watanzania radhi kwa hayo yaliyotokea maana yeye ni mmoja kati ya watanzania na alichokifanya hakikuwafurahisha watanzania wala Mungu wake aliyempa uhai hadi kushiriki BBA.
Kukubali makosa ni ngumu sana ila makosa ndio njia pekee ya kujifunza!!!
Inawezekana Tatizo ilkua pombe...................
 
Usijuitie sawa tu Bhoke ni p...y yako ndio ila ungefocus mbali badala ya hizo nyege mshindo za dakika usingefanya hivyo, ungekumbuka kuwa kazi yako unayofanya inahusisha jamii ya vijana si wazee usingejilegeza hivyo Bhoke, ndio kuna tamaa za mwili ila binadamu tuna akili ya kufikiria jambo, kila nikiiangalia ile clip naumiaa sana sikujui wala sikuwahi kukuona popote pale zaidi ya BBA, niliposikia ni mtangazaji wa TV niliuliza ni TV gani na kupata jibu, ungejipa dk 1 tu ya kutoka pale kwenye jakuzi na kupata hewa safi ungevaa chupi yako vizuri, utafundisha wadogo zetu kuwa nyege hazizuiliki or?? Jitetee uwezavyo ila BHOKE UMETUTIA AIBU WANAWAKE WENZAKO PERIOD!
Yeye kapata raha zake wewe unaumia nini? Acha unafiki
 
Ninakana na nitaendelea kukana kuwa eti hajutii kuliwa uroda na enerst,mtu yeyote duniani hawezi kufanya mapenzi ktk kamera au hadhara halafu asijutie labda kama ana matatizo ya kiakili au kisaikolojia.Kama aliona sawa kwa nini walijifunika lishuka gubigubi kama haogopi kitu.Hapo anaongea kwa kuwa tayari ni sociopath na hawezi kupinga kwa kuwa mambo yote yapo hadharani.hiyo ni mbinu ya kuwa silence watu halaka.
 
Huyu dada ni malaya, na chanzo ni wazi yeye anajijua kuwa hana mvuto hivyo aliona ile ni fursa ya kutoka kimaisha akidhania hukumu tunayopewa wanaume hulingana ya wanawake hapa duniani, matendo yake mbele ya jamii ni uhuni na umalaya na si wasifu mwema wa mwanamke mtanzania/mwafrika na ndio maana akarudishwa chapchap, wanaume wanapewa hukumu pale wanapokuwa wanafiki, roho mbaya, dharau na mengine yanayofanana na hayo lakini ktk eneo la zinaa kidogo jamii yetu haiko strictly sana nasi isipokuwa akianza kuwa shoga hapo hukumu yake ni mara moja....
Bhoke ni malaya , ni aibu kwa mkoa wa mara na familia yake, kabila lake na nijuavyo mara ni watu strictly sana kwa wadada ktk umalaya na ndio maana wanawathiri ili kuwapunguza nyege(niko against na mila hii)na kuwadhibiti wasiojiheshimu in the name of malavidavi.

Sidhani kama ana haki ya kujadiliwa humu pengine tumpongeze yule aliyepigana kwa ajili ya tanzania maana ni mzalendo tena mkubwa akiwa ughaibuni, 4get this malaya and tumshangilie shujaa aliyeipoteza fursa kwa kuilinda dignity ya alikotoka
 
tumuachie Dunia yake lakini ni bora angekaa kimya kuliko kutafuta cheap fame kwa maneno ya kijinga! kweli bichwa maji..
 
Bhoke ni reflection ya mashori wa kibongo......
mhh unauhakika YoYo au umeamua tu kuwavunjia heshima dada zako....au ndo huo uraia wa Kenya hebu nitafute nikupe wa maana zaidi hata ukitukana unaeleweka
 
Anajuta sana kimoyomoyo ila hataki watu wajue udhaifu wake!!Ukimuangalia sana tabia yake ya ubishi,sura ilivyokaa na macho yalivyo utagundua kuwa huyu binti ni SOCIO-PATH ingawa yeye hajijui na hatajijua kamwe!
 
Hivi tatizo ni mfumo dume au? Mbona Richard alifanya au haikua live kama Bhoke au kwa sababu alishinda au wanaume wakifanya ruksa wanawake ndo inakua haramu.

Hi,

You are too big to argue like a kid. Too low for you!
 
Back
Top Bottom