Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajuta sana,hata sitegemei kama ataongoza ule mjadala wake wa kushauri vijana pale Eatv,5connect..
Yeye kapata raha zake wewe unaumia nini? Acha unafikiUsijuitie sawa tu Bhoke ni p...y yako ndio ila ungefocus mbali badala ya hizo nyege mshindo za dakika usingefanya hivyo, ungekumbuka kuwa kazi yako unayofanya inahusisha jamii ya vijana si wazee usingejilegeza hivyo Bhoke, ndio kuna tamaa za mwili ila binadamu tuna akili ya kufikiria jambo, kila nikiiangalia ile clip naumiaa sana sikujui wala sikuwahi kukuona popote pale zaidi ya BBA, niliposikia ni mtangazaji wa TV niliuliza ni TV gani na kupata jibu, ungejipa dk 1 tu ya kutoka pale kwenye jakuzi na kupata hewa safi ungevaa chupi yako vizuri, utafundisha wadogo zetu kuwa nyege hazizuiliki or?? Jitetee uwezavyo ila BHOKE UMETUTIA AIBU WANAWAKE WENZAKO PERIOD!
Bhoke ni reflection ya mashori wa kibongo......
mhh unauhakika YoYo au umeamua tu kuwavunjia heshima dada zako....au ndo huo uraia wa Kenya hebu nitafute nikupe wa maana zaidi hata ukitukana unaelewekaBhoke ni reflection ya mashori wa kibongo......
Hivi tatizo ni mfumo dume au? Mbona Richard alifanya au haikua live kama Bhoke au kwa sababu alishinda au wanaume wakifanya ruksa wanawake ndo inakua haramu.