Jamani hao madada kama mmeangalia Link zote mbili, wote ni watanzania, Bhoke na huyo mwenzake Lotus, halafu mwanaume ni mmoja, Ernest wa Uganda. Mnaona ni vema hiyo? Hapo kwa Bhoke ni zaidi ya kiss maana kabisa unaona Bhoke anasikilizia kitu utamu wake
Hiyo ya Lotus ilikuwa ni kissin game, na aliwakiss wanaume kama 3 hiv huku wengine wakishangilia pembeni, na wengine walifanya hivyo pia.
Eti anasikilizia utamu... hehehe
Kama kukiss ni kufanya mapenzi.. Bac wengi wameshafanya. Mimi niliona hiyo sikuona cha zaid ya hivyo walivyokuwa na walikuwa na watu wengine pia kwenye jaccuzi pia.
Yeah!!! Yatatokea mengi tu maana watachoka.wengi ukiwachunguza pale they are not real, they are faking anticipating to win audience....tutaona mengi
Haujaona mkono mmoja wa jamaa mahali ulipo?? jamaa kazamisha mkono wote kunako, afu yeye katulia tulii dada yetu ndio anatapa tapa. What a shame.
hakuna kitu kibaya kama umasikini,unaweza kukufanya ukafanya vitu ambavyo ni fedheha hata kwako mwenyewe wakati mwingine kama utatafakari kwa kina baada ya hapo
Sure!!hakuna kitu kibaya kama umasikini,unaweza kukufanya ukafanya vitu ambavyo ni fedheha hata kwako mwenyewe wakati mwingine kama utatafakari kwa kina baada ya hapo
........Pesa kweli mwanaharamu duhhhhhhhhhhh!!!!!!!!
kwani na wewe uliomba ukakosa?