Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA


Hiyo ya Lotus ilikuwa ni kissin game, na aliwakiss wanaume kama 3 hiv huku wengine wakishangilia pembeni, na wengine walifanya hivyo pia.

Eti anasikilizia utamu... hehehe
 
Hiyo ni live!
Ni ujinga gani huu Waafrica wamepandikizwa?
Ni bora hata MAISHA PLUS walikuwa wanajikaza...huh!
 
anyway tusilaumu sana..hata wewe ungeletewa vipapa ungekuwa. Du waganda watakuwa wanatuona machoko ile mbaya.... I have ****ed the tanzania state
 
wengi ukiwachunguza pale they are not real, they are faking anticipating to win audience....tutaona mengi
 
Mhhhhh mi naona kama tunapotosha vile kusema ame-do jamani.

Sijaona walipofanya hivyo khaaaaa, unawezaje ukiwa na wengine pemben mhhh.
 
Hiyo ya Lotus ilikuwa ni kissin game, na aliwakiss wanaume kama 3 hiv huku wengine wakishangilia pembeni, na wengine walifanya hivyo pia.

Eti anasikilizia utamu... hehehe

watu waongo sana hakuna aliyafanya mapenzi....again, its a game...let those girls be....!!! i like people who are real and daring!!!
 
Kama kukiss ni kufanya mapenzi.. Bac wengi wameshafanya. Mimi niliona hiyo sikuona cha zaid ya hivyo walivyokuwa na walikuwa na watu wengine pia kwenye jaccuzi pia.

Haujaona mkono mmoja wa jamaa mahali ulipo?? jamaa kazamisha mkono wote kunako, afu yeye katulia tulii dada yetu ndio anatapa tapa. What a shame.
 
wengi ukiwachunguza pale they are not real, they are faking anticipating to win audience....tutaona mengi
Yeah!!! Yatatokea mengi tu maana watachoka.

Leo kweny nomination mtanzania lutos kam-nominate Bhoke for eviction next wk, eti 'tupo wawil na hata hivyo si rafiki yangu' mhhh hakuna uzalendo kwenye pesa kweli
 
hakuna kitu kibaya kama umasikini,unaweza kukufanya ukafanya vitu ambavyo ni fedheha hata kwako mwenyewe wakati mwingine kama utatafakari kwa kina baada ya hapo
 
Haujaona mkono mmoja wa jamaa mahali ulipo?? jamaa kazamisha mkono wote kunako, afu yeye katulia tulii dada yetu ndio anatapa tapa. What a shame.

Hahahaha leorndo. Mkono umezama????
 
hakuna kitu kibaya kama umasikini,unaweza kukufanya ukafanya vitu ambavyo ni fedheha hata kwako mwenyewe wakati mwingine kama utatafakari kwa kina baada ya hapo

mkuu umelonga haswaaa!! Kweli kabisa.
 
hakuna kitu kibaya kama umasikini,unaweza kukufanya ukafanya vitu ambavyo ni fedheha hata kwako mwenyewe wakati mwingine kama utatafakari kwa kina baada ya hapo
Sure!!
Kuna siku walikuwa wakipiga picha kwa ajil ya calendar, yaaani ilikuwa ni kujizalilisha ki ukweli

Kuna watu walionekana kabisa maungo yao japo, camera zilikuwa zinahama hama lakin tayar mtu ameshaonekana.

Bac wengine wanaogopa ogopa, wengine wamejiachia tu, wakitoka pale ndo watajua ubaya wake, baada ya kukuta picha zako nyeti mtaani
 
Kufanya mapenzi nini ninyi??? mbona miye sioni hapo.... fondling and passionate kiss is not kufanya mapenzi, well according to my 2011 version of intimacy dictionary!! Toleo lipi hilo nyie mwatumia????
 
Richard (mshindi) na Mwisho (wa pili) walifanya vizuri wakati wao.
Hao Lotus na Bhoke naona wameingia kwa gia ya LaToya. waangalie wasije wakatoka fasta kama ilivyokuwa kwa LaToya...
 
........Pesa kweli mwanaharamu duhhhhhhhhhhh!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…