Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchomvu ndiyo nani?
Kwani umeshikiwa bunduki ukalazimishwa kuangaliaAnother Satanic hell...it's better 2comt suicide rather than watchng bba
leo washiriki wote ndio watatinga ndani ya mjengo mida ya saa moja jioni hivi....Kama hawajarudisha shower time sipotezi mda wangu kuifuatilia:yield:Kwani umeshikiwa bunduki ukalazimishwa kuangalia
kwa kweli BB hata sielewi inakuwaje thread yangu kuchanganywa na mtu mwingine, nishareport nina imani wanafanyia kazi yaani hata kwenye profile yangu siioni kabisa!Hivi hii thread ni ya gaga au ya JosM maana hata sielewi tena Mod embu tuwekeeni tuelewe
Hawajatenda haki nina imani watairudisha kwako wambakizie yake pia, naona hata yeye mwenyewe kashangaa.maana leo nilikuwa nina habari nataka niingize kule nimeitafuta sijaiona mpaka nikapata like moja ndio nimeitrace nayo. anyway. nimesikia kwamba hizi picha walizoweka kwenye website wametutega tu hizi ni za ma presenter watakaokuwa wanatoa habari za BBA nchini kwao vile vibox vinavyoonekana vimepauka (kama blank hivi) kwenye website ndio washiriki. ila tusubiri jioni tuone maana BBa huwa ina surprises nyingi sanakwa kweli BB hata sielewi inakuwaje thread yangu kuchanganywa na mtu mwingine, nishareport nina imani wanafanyia kazi yaani hata kwenye profile yangu siioni kabisa!
Ndio hata mimi nimeona hivyo! na watu kibao wamesema kama wewe, lets wait and seeHawajatenda haki nina imani watairudisha kwako wambakizie yake pia, naona hata yeye mwenyewe kashangaa.maana leo nilikuwa nina habari nataka niingize kule nimeitafuta sijaiona mpaka nikapata like moja ndio nimeitrace nayo. anyway. nimesikia kwamba hizi picha walizoweka kwenye website wametutega tu hizi ni za ma presenter watakaokuwa wanatoa habari za BBA nchini kwao vile vibox vinavyoonekana vimepauka (kama blank hivi) kwenye website ndio washiriki. ila tusubiri jioni tuone maana BBa huwa ina surprises nyingi sana
Nimeisikia pia hii watu wengi wamesema hivo tusubiri hiyo saa mbili usikuHawajatenda haki nina imani watairudisha kwako wambakizie yake pia, naona hata yeye mwenyewe kashangaa.maana leo nilikuwa nina habari nataka niingize kule nimeitafuta sijaiona mpaka nikapata like moja ndio nimeitrace nayo. anyway. nimesikia kwamba hizi picha walizoweka kwenye website wametutega tu hizi ni za ma presenter watakaokuwa wanatoa habari za BBA nchini kwao vile vibox vinavyoonekana vimepauka (kama blank hivi) kwenye website ndio washiriki. ila tusubiri jioni tuone maana BBa huwa ina surprises nyingi sana
Unaogopa nini? maana hata akienda mwanamme huwa anatafuta mwanamke wa nchi nyingineAkienda mwanamke kwenye bba huwa naogopa sanaa...
media imetudanganya si bhoke mwakilishi wa bongo grrrrrrrrrrrrrr
Hivi hii thread ni ya gaga au ya JosM maana hata sielewi tena Mod embu tuwekeeni tuelewe
naangalia hapa anaitwa lotus! Au jina lake lingeine ni bhoke? Well labda wapo wawili toka tz maana kuna nchi mbili sasa wameingiza watu wawili botwana na uganda! Will keep posting :a s 39: