Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari ndg zangu,
Nimekuwa nikimfuatilia mshiriki wetu ktk show ya Big Brother Amplified, Bhoke lakini nimeshindwa kumwelewa kabisa
Anatumia muda mwingi sana kuwa peke yake, kimya na kulala muda mrefu kama ni mjamzito. Nadhani TV show nia yake kubwa ni kupata kuona visa vituko ucheshi na mengine ili show ivutie kwa watazamaji lakini kwa jinsi alivyo huyu mshiriki wetu naona kama hawezi kufika popote kwa kuwa style yake ya maisha haivutii mtu kutazama.
Lotus alikuwa anaonekana mapepe lakini alikuwa anafurahisha sana na toka ametolewa lile jumba lake kama limepooza hivi
Kwa waandaaji nadhani wawe wanachagua watu ambao wanaweza kuliletea taifa sifa na mshiko maana kama m-TZ akishinda nina uhakika hiyo hela itaingia kwenye mzunguko na kuinua uchumi wa taifa letu
labda naye kasoma alama za nyakati kuwa 'umapepe' haulipi. Au ...Habari ndg zangu,
Nimekuwa nikimfuatilia mshiriki wetu ktk show ya Big Brother Amplified, Bhoke lakini nimeshindwa kumwelewa kabisa
Anatumia muda mwingi sana kuwa peke yake, kimya na kulala muda mrefu kama ni mjamzito. Nadhani TV show nia yake kubwa ni kupata kuona visa vituko ucheshi na mengine ili show ivutie kwa watazamaji lakini kwa jinsi alivyo huyu mshiriki wetu naona kama hawezi kufika popote kwa kuwa style yake ya maisha haivutii mtu kutazama.
Lotus alikuwa anaonekana mapepe lakini alikuwa anafurahisha sana na toka ametolewa lile jumba lake kama limepooza hivi
Kwa waandaaji nadhani wawe wanachagua watu ambao wanaweza kuliletea taifa sifa na mshiko maana kama m-TZ akishinda nina uhakika hiyo hela itaingia kwenye mzunguko na kuinua uchumi wa taifa letu
Nani alikwambia kuwa mapepe ndiyo kuwakilisha taifa vizuri wewe? Wakurya ni watu makini, watulivu na wanajua kucheza na akili za watu. Wewe usiyejua haya ndiyo unawaza kukurupuka na kupayuka. Hata usipomuelewa sisi wenyewe tunamkubali kama mkurya wa kwanza kututoa kimasomaso, sasa wewe endelea kuchongachonga tu.
Habari ndg zangu,
Nimekuwa nikimfuatilia mshiriki wetu ktk show ya Big Brother Amplified, Bhoke lakini nimeshindwa kumwelewa kabisa
Anatumia muda mwingi sana kuwa peke yake, kimya na kulala muda mrefu kama ni mjamzito. Nadhani TV show nia yake kubwa ni kupata kuona visa vituko ucheshi na mengine ili show ivutie kwa watazamaji lakini kwa jinsi alivyo huyu mshiriki wetu naona kama hawezi kufika popote kwa kuwa style yake ya maisha haivutii mtu kutazama.
Lotus alikuwa anaonekana mapepe lakini alikuwa anafurahisha sana na toka ametolewa lile jumba lake kama limepooza hivi
Kwa waandaaji nadhani wawe wanachagua watu ambao wanaweza kuliletea taifa sifa na mshiko maana kama m-TZ akishinda nina uhakika hiyo hela itaingia kwenye mzunguko na kuinua uchumi wa taifa letu
ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Atakuwa na kesha jazwa kibendi huyo!
Mkurya na ubitozi wapi na wapi?
Kwani umesikia Tunawakataza??, Ule ni usengelema wewe. TUuUUpA Kulejust leave them it part of the game as far wakina mwisho and richard walikuwa wanawala wa nchi nyingine mrifurahi