Bi harusi aliyetoroka apatikana

Bi harusi aliyetoroka apatikana

Wale pilau lao bila harusi na wakifanikiwa kufunga ndoa wanafunga bila pilau. Maana waliisha kula.
 
Huyu alikumbuka mgegedo wa x wake tu sasa jamaa kasimamia ukucha hadi bi harusi kachanganyikiwa!
 
Nasikia bwana harusi ana shafti kama ya punda bibi harusi alishindwa kuimudu mara kadhaa
 
Alienda kula chuma cha moto cha mwisho mwisho kikamlevya
 
Natamani kuona picha yake na bwana wake ningechangia mada vzr.

usipate tabu...huyo hapo bibi harusi
mtarajiwa aliyezua songombingo ....

Bibi+Harusi+PHOTO.jpg
 
au ndo yule aaneytafutwa kwa kumuharibu mungu wa kichaga?
 
Alienda kukimeremetesha kitu cha chalii ake wa R chuga. Baada ya hapo akatoka anaweweseka kinyama!
 
Mkuu kaomba iahirishwe zaidi ya Mara kumi, kaaga anaenda kujisaidia akaomba apelekewe kanga na tishu, kaondoka kwa bodaboda kamlipa driver na kupanda gari ya abiria ana akili timamu huyo hakuna jini wala shetani alikuwa na mipango yake huyo

Ni obvious hii ndoa huyu binti kalazimishwa, hakuna jingine hapo. Wazazi wasicheze na future ya mtu, waheshimu tu maamuzi yake, kama mahari irudishwe hakuna namna
 
Maralia hapo ilipanda kichwani

Hainingii kichwani kabisa
 
Duh hatari

Inawezekana ndo sababu hasa

Ila my kaka ujue kuna Vitu vingine ni kujitafutia laana tu. Hivi mtu tangu mpo kwenye urafiki unaona kabisa hii issue ni maji marefu kwangu, but unapiga kimya tu. Hadi mtu anaenda kujitambulisha kwenu unamruhusu tu, hadi kutoa posa jamani upo tu, hadi send off then siku ya kufunga ndoa ndo unatoroka. Me mbona ningemtafutia tu sababu ya kumuacha mapemaaa kwenye ushkaji. Amemuumiza sana kisaikolojia kaka wa watu, amewasababishia ndugu Usumbufu bado gharama walizoingia mmh
 
ni vyema kama humpendi mtu ukamuacha mapema kabla hujamtia hasara ya pesa zake na kumharibu kisaikolojia,hizo gharama za bwana harusi nani atazilipa?
 
Back
Top Bottom