Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sio anachokula ila ameumbwa tu na udongo mzuri
Hivyo eeh? Kwa hiyo Bi Hindu hali nyama? Halafu najiuliza mtu ana miaka 80 kwa nini bado yuko ofisini?Ila msos nao unamatter shost...hasa ukiacha nyama nyama lol
Hivyo eeh? Kwa hiyo Bi Hindu hali nyama? Halafu najiuliza mtu ana miaka 80 kwa nini bado yuko ofisini?
Kweli ile Acting yao unahisi ni mke wake .Nikiwa mdogo nilikuwa najua Bi chau ni mke wa Marehemu mzee small,walikuwa wanapatana sana katika kazi zao.
Anachokula kinachangia....Sio anachokula ila ameumbwa tu na udongo mzuri
[emoji6][emoji6][emoji6]nadhan wanamfavor tu...ila nyama inazeesha sana..
Post zako zimagoma huo umri ... Ahahahahaaniko under 20 mkuu..
usinikuze tu😊
Hivyo eeh? Kwa hiyo Bi Hindu hali nyama? Halafu najiuliza mtu ana miaka 80 kwa nini bado yuko ofisini?
Kwa hii comment yko km ww ni mdada sina shida na nikuombe radhi. Ila km ni mtt wa kiume utakuwa na matatizo ndugu yngu...Bi hindu na mwenzake Bi chau hawa ni wazee wenye miili mizuri wanazeeka na utamu wao.
Wana mapendo kwakweli mioyo yao ina amani
Kuna mwingine full visirani sasa hivi hata hajazidi 45 ameshaota makunyanzi FaizaFoxy
Mwambie bibi yako astaafu bwanaVile mdomo mali yake
Hivyo eeh? Kwa hiyo Bi Hindu hali nyama? Halafu najiuliza mtu ana miaka 80 kwa nini bado yuko ofisini?
Mkuu bila shaka age yako ni 35 years.Nimemsikia sehemu leo akitaja mwaka.alio zaliwa. Anasema amezaliwa tarehe 27 mwezi wa 10 mwaka 1939.
Mzee Mkapa anamzidi Bi Hindu mwaka.mmoja tu!!!!
She is eleven years older then my father and 16 yrs older then.my mother.
I used to think she was just born in the 1950s.
Yani tarehe 27 October mwaka huu panapo majaaliwa yake Allah Bi Hindu anafikisha miaka themanini!!!
Masha'Allah . She looks 20 years younger than her age.
Huyu bibi ni Chuma kama lilivyo jina lake.
Bi Hindu wafundishe dada zetu vyakula ulivyo kua unakula.
Kuna mdada nilimaliza nae darasa la saba mwaka 1998 sasa hivi anaonekana.kama mmama.wa miaka 48.
Mkuu,hapo kwenye red una maanisha nini?Sio anachokula ila ameumbwa tu na udongo mzuri
Siioni red yoyote mkuuMkuu,hapo kwenye red una maanisha nini?
Ahaa sawa. Naomba nikwambie kitukampuni binafsi.. zinaajiri kama unaleta faida tu.. hata uwe na miaka 100 hawana noma...
bi hindu na uzee wake kwa utangazaji anamudu kuliko watoto wengi wa 20s au 30
Umesema;Siioni red yoyote mkuu