mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hasa ujenzi kwa kutumia tofali za kuchoma au za kuchonga kwenye mwamba. hatari sanaaWanakuwaga mafundi sana Hawa
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hasa ujenzi kwa kutumia tofali za kuchoma au za kuchonga kwenye mwamba. hatari sanaa
Nitakuwa shida gani? Iseme mara moja kabla sijachafua hali ya hewa maana nimechafukwa rohoKwa hii comment yko km ww ni mdada sina shida na nikuombe radhi. Ila km ni mtt wa kiume utakuwa na matatizo ndugu yngu...
Shida yko ni hiyo ya kuchafukwa na Roho ww unaona kawaida narudia tna km ni mtt kike upo Sawa ila km mwaume utakuwa na shida...Nitakuwa shida gani? Iseme mara moja kabla sijachafua hali ya hewa maana nimechafukwa roho
Kudadadeki zako unataka nini sasa?Shida yko ni hiyo ya kuchafukwa na Roho ww unaona kawaida narudia tna km ni mtt kike upo Sawa ila km mwaume utakuwa na shida...
Sina ninachotaka Bwana Lokole...Kudadadeki zako unataka nini sasa?
We umetukana haki si kwa muunganisho huu wa maneno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumaanisha ?. Yani Mwalimu mkuumama ako tena mwalimu wa kiswahili halafu unashindwa kuelewa sentensi rahisi kama hii?
😂😂😂😂Na kwa ukongwe huo umeshaona mengi sana bibi yetu hivyo nakusihi ungana na Kilomoni muipambanie kwelikweli klabu yetu ya Simba SC isiibwe na wahindi.
Mshamba wewe unakazwaSina ninachotaka Bwana Lokole...
Bibi Hindu, anajulikana sana, mzee baba mpaka picha au wewe wa kuja mjiniBila picha ya bi. Hindu ni tetesi kama tetesi nyingine
Wewe Bi Hindu alivyo mswahili izo sifa ulizommwagia hanaBi hindu na mwenzake Bi chau hawa ni wazee wenye miili mizuri wanazeeka na utamu wao.
Wana mapendo kwakweli mioyo yao ina amani
Kuna mwingine full visirani sasa hivi hata hajazidi 45 ameshaota makunyanzi FaizaFoxy
Wakwetu yule acha nimsifieWewe Bi Hindu alivyo mswahili izo sifa ulizommwagia hana
Bibi Hindu sidhani kama alikuwa kwy ndoa yule sio kwa utemi ule pale Simba Sports Club. Anawasha moto, mibaba mizima inamuogopa. Bibi wa Kariakooo kalea sana wajukuuu zake wakina Mohamed Dewjhivi hicho kibibi huwa kina mume?
Alimzinguaga Ismail Aden Rage. Bibi Hindu kauzu sana, Bibi wa KariakoooWakwetu yule acha nimsifie
Huoni nami ndivyo nilivyo nazingua kila mjinga mjinga humu.Alimzinguaga Ismail Aden Rage. Bibi Hindu kauzu sana, Bibi wa Kariakooo
Na kwa ukongwe huo umeshaona mengi sana bibi yetu hivyo nakusihi ungana na Kilomoni muipambanie kwelikweli klabu yetu ya Simba SC isiibwe na wahindi.