Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Wanasayansi muhimu mkuu, ndo maana ya mgawanyo wa taaluma, huku kwa wanasiasa unatakiwa uwe tayari kuzomewa mbele ya familia yako wakikuchoka unaotaka kuwaongozaMkuu Oswald Daudi Mwakibete tungekuwa waoga wa physics leo hii tusingekuwa na Wahandisi, Madaktari, Marubani wazawa n.k kwahiyo Nchi ingekuwa inawarecruit wataalam kutoka nje tu, sisi tungeendelea kuzalisha wanasiasa tu๐๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nigga povu povu povu kaoshee vyombo.Ww ndio umemuwekea hiyo nyodo.... stupid....alafu nani alikudanganya hesabu ni somo gumu ....labda kama ww ni kiazi...madem wanalingia k zao kutokana na uzuri wao....wp uliona mwanamke analingia akili....ww mbwisye kweli ww
Povu umeliona ww.....siku nyingine jipange...unapo comment humu...jitahidi ujifunze kwa usahihi matumizi ya maneno ya kiswahili....unaconect vp nyodo na akili ya mtu???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nigga povu povu povu kaoshee vyombo.
Sijasema hesabu ni ngumu, but kuna vipaji vya hesabu always ... mpaka mchango wake ulitambuliwa na serikali ya america na Nasa, angekuwa mbumbu darasan angefika hapo halipo?
Kwa record ndio mwanamke wa kwanza mweusi kufanya kazi na Nasa wkt huo ambapo ubaguzi kwa watu weusi ulikuwa mwingi.
yes she is smart and proud.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndio ujipange bro. Angalia comment yako ya kwanza umeandika nn kuhusu mwanamkePovu umeliona ww.....siku nyingine jipange...unapo comment humu...jitahidi ujifunze kwa usahihi matumizi ya maneno ya kiswahili....unaconect vp nyodo na akili ya mtu???
Pick your struggle elsewhere...Ww ndio ujipange bro. Angalia comment yako ya kwanza umeandika nn kuhusu mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
history,na language
Hii ni jina ake ya ubatizo, ambao watu wengi hapa hawalifahamu, empire ndo imemn'garisha zaidi Kwa jina la cookie lion
kwa kweli!Ngoja hkl tuwapishe wanafizikia... Hbd kibibi kikongwe
Duh.Kumbe na wewe unapenda chura, nilifikiri unaipenda CCM tu
Mbona Jokate hana chura na Mwenyekiti wako kamuwezesha?Nyodo bila chura? Nakataa, haiwezekani.
Asante kwa msaada wako mkuu.Nyodo kwa akili aliyonayo kwa vile ni mathematical genius. Na amefanya kaxi nasa.. siku anastaafu alituzwa kwa kazi nzuri aliyofanya.
Sio ukiambiwa nyodo unawaza kutombana tu. Kuna nyoda za aina nuingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo masuala ni baina ya weye na dada yako da'Mange. Sihusiki huko tafadhali.
Mbona unayakataa mambo ya Mwanyekiti wako?Hayo masuala ni baina ya weye na dada yako da'Mange. Sihusiki huko tafadhali.