Bi. Khadija MKE wa Mtume Muhammad ndio Sampuli ya Mke Bora ambaye unaweza kufanya naye Maisha

Kama aliolewa na mtume akiwa na miaka 28, ndoa yake ya kwanza aliolewa akiwa na miaka mingapi!? Kumbuka mara baada ya ndoa yake ya kwanza kuvunjika alikaa miaka kadhaa kabla ya kukubali kuolewa na mtume.
Hii so hoja, mpaka ulete ushahidi wa miaka sababu watu walikuwa wanaolewa wakiwa na miaka michache, mama Khadija kabla ya kuolewa na Mtume alilolewa kwanza na Atyiq bin Aidh na kisha akaja kuolewa na Abuu Halaah.
 
Hii so hoja, mpaka ulete ushahidi wa miaka sababu watu walikuwa wanaolewa wakiwa na miaka michache, mama Khadija kabla ya kuolewa na Mtume alilolewa kwanza na Atyiq bin Aidh na kisha akaja kuolewa na Abuu Halaah.
Sawa, asante
 
Kwani muhamad kabla ya kuzaliwa waswahili walikuwa hawaoi na na kuolewa? Mnatuletea ngano za miaka karibia elfu mbili iliyopita?
 
Ninasikia Khadija alikuwa na 45 na mtume alikuwa na 20.Sasa hao watoto wengi aliwazaa aje na miaka 45?Au alizaa mpaka akiwa na miaka 60?Muujiza mwingine huu ,maana miaka 60 menopause tayari.
 
Ninasikia Khadija alikuwa na 45 na mtume alikuwa na 20.Sasa hao watoto wengi aliwazaa aje na miaka 45?Au alizaa mpaka akiwa na miaka 60?Muujiza mwingine huu ,maana miaka 60 menopause tayari.
Hapa ulisikia vibaya, mapokezi ambayo yapo ni kuwa alikuwa na miaka 40 na Mtume alikuwa na miaka 25. Ila mapokezi sahihi ni kuwa alikuwa na miaka 28 na Mtume alikuwa na miaka 25. Yaani walipishana miaka 3.
 
BiHadija Alikuwa mshangazi na single mothers tu aliyenda mileages above 30's years hivyo alikuwa msaka ndoa kama masingle mothers wetu waliyoenda age hapa JF.
Na huyo Mwamedi alikuwa kibenten au marioo, maana kwa umri wa miaka 20's alikubali kuolewa na BiHadija.
 
UKo sahihi lakini kwenye uislam hakuna mwanamke bora zaid ya mariam mama wa issa bin mariam (yesu)
 
vipi aisha, binti wa miaka 9?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…