Bi. Khadija MKE wa Mtume Muhammad ndio Sampuli ya Mke Bora ambaye unaweza kufanya naye Maisha

Sasa brother kwa Maisha haya ya Leo kila kitu wao washa adapt unadhani utampata tuuuuuh kiulaini kama zamani atabawo wazazi wenyewe ukiwaambia wanafanya kama wanabetπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kwa ujumla ni ngumu aseee

Hata zamani kuwapata haikuwa rahisi.
Elewa kuwa hawa uwaonao ni Watoto wa kizazi kilichopita.
Wanasema mtoto wa Nyoka ni Nyoka.
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sio unachonga mdomo kama Sarange wa msamvu
 
NATOA HOJA. HILI BANDIKO LIFANYIWE LAMINATION. MODERATOR MLIWEKE E GUNDI KULE JUU LISITOKE. PIA NATOA HOJA KUWA MTOA MADA AKAJENGEWE SANAMU KATIKATI YA IKULU YA DODOMA, HAPA DAR SANAMU LAKE LIWEKWE AIRPORT, POSTA NA KWENYE FLY OVERS ZOTE.

Natoa Hoja pia wanaume wote wenye kujiamini na kuamini maneno ya Mungu tusambaze andiko hili kwenye Magroup yote ya social media.


Natoa Pendekezo mtoa Mada week hii nzima asipost thread nyingine yoyote ile. Na moderators wote wakae kwenye huu uzi kuweza jifunza, pia vijana ambao hawajaoa. Watumue huu uzi kujifunza kabla hawajaingia ndoani.

NAWASILISHA HOJAS.
 
 
πŸ˜€πŸ˜€Humu hakuna vijana wasiooa ila sio Kwa msisitizo huo wamekusikia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚namkumbuka Khadijah wangu inaleta raha
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kumbe ndo maana umefurahi ila kiukweli bi Khadija alifaidi ndoa aisee
Alikuwa anabembelezwa,mtume Muhammad s.a.w alikuwa anaacha shughuli zake anamsaidia kazi za nyumbani anacheza nae ila Hawa wetu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Miguu Yao mda wote inawasha safari za outing tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…