Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Kumbeeee ndio maana mishangazi inasumbuaHakuwa mke huyu, muhammad aliolewa na huyu mama maana muhammad alikuwa na miaka 25 na khadija alikuwa na 45 hivyo muhammad aliolewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbeeee ndio maana mishangazi inasumbuaHakuwa mke huyu, muhammad aliolewa na huyu mama maana muhammad alikuwa na miaka 25 na khadija alikuwa na 45 hivyo muhammad aliolewa.
Wasasa wanawaza Bear na shisha utapata wapi wakuoa 😂😂😂😂😂😂Yaani acha tu alafu hatoki na mkewe anatoka na Mchepuko😂😂
45 haikua kazi rahisi😂Ni bi Khadija au mtoto Khadija?
Ni bi Khadija au mtoto Khadija?
Konki Sana Hili liuzi
Mkuu likikosewa jina la mfungwa aliyehukumiwa kunyongwa, ukajikuta wewe unanyongwa, utasema jina ni kitu kidogo?Kiranga unakaba mpaka penalt mzee[emoji38] mpaka jina unalitoa dosari...!
Bi Khadija alimuoa na kumharibu kabisa Mudy, akamfanya Mudy kuwa Marioo kutoka kuwa Mfanyabiashara maarufu pale MakaBi Khadija unyama mwaisa [emoji16]
aaaah tumswalieni Mtume jamani ndungu zangu, maana uko aliko hatujui limpatalo.
😂😂😂😂EeeehVijana WA sasa wanaita "Shangazi"
Alikuwa na pesa na alimtunza mumewe.Ni Kweli bi Khadija ni mwanamke Bora sana na kama wanawake wa kiislamu tukifuata muongozo wa dini bas ndoa zingekuwa salama ila mmh
Wewe umependa ilo tu?😀Alijuwa na pesa na alimtunza mumewe.
Mnaotaka wake bora ninyi ni bora?? Bi Hadija aliona ubora wa mtume ndio maana nae akajitoa kwake..
Mwanaume kutwa kubet na kushinda vijiweni na mitandaoni unataka mwanamke bora aje asulubike nawe?? Tunaona mifano mingi ya wanawake wanaoteseka na watoto ilhali waume zao wako hai kwa kuwa wao walikua bora wakajiweka kwa wanaume wapuuzi
Ubora wa ndoa ni two way traffic ndio maana zipo nyingi zinadumu na kuwa na mafanikio kiuchumi na zipo nyingi zinakufa kwa kuwa kila mmoja anategea mwenzie awe bora
Tafuta wako asiye bora mtengeneze,hakuna ndoa nyepesi kwakuwa kila mtu kalelewa kivyake na kupitia changamoto zake hadi anakutana na wewe
Huyo Bibi story yake alipanga harusi kwa kumblack Mail baba yake ambaye alikuwa Mlevi wakaandaa Sherehe ya ndoa alipolewa wakamuambia akigoma kukubali ndoa watamsemea kwa Wazee wa ki quraish kwani ilikuwa ni kosa kwa umri wake kulewa so ilibidi akibali binti yake Kizee kiolewe na Mudy.. so ulaghai ulikuwa mpango wake na inawezekana hata kifanikiwa kibiashara kulikuwa na mushkeri na ulevi mno.. mtu asifiwe na sifa zake zingine sio nzuri pekee
Hahahah acheni umama basi🤣Huyo Khadija alikuwa mke ni ngapi? Ndo aliyekuwa na mkwanja .Mtume kumbe alikuwa Mario eeeh.
Sasa toto kama Zari Boss Lady awake na muhuni namuachaje kwa mfano. Hao ndio kina bi Khadija wa sikuhizi🤣45 haikua kazi rahisi😂