Bi. Khadija MKE wa Mtume Muhammad ndio Sampuli ya Mke Bora ambaye unaweza kufanya naye Maisha

Ina make sense ๐Ÿ˜Ž
 
Hahahahahah oya acha hizo kwa hio mtume alifanywa kile ambacho Zari amemfanya yule kijana wa Kiganda ๐Ÿคฃ
 
Umemaliza kila kitu mzee, jiandae na mawe ๐Ÿคฃ toka kwa slay kwini
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo kubwa maana hata alilazimisha kuolewa na Muhamad pale baba yake alipotaka kuleta kauzibe
๐Ÿ˜€Ni Kweli lakini vizazi havifanani kufikia bi Khadija tuwe wanawake hasa NA Hatuwez hata hivo,na wale walikuwa na true love ila kumlazimisha mtu akuoe sio sahihi kwasasahiv lakini Kwa mke kunisaidia mume ni kawaida na wapo wachache wanafanya hivo
 
๐Ÿ˜€Ni Kweli lakini vizazi havifanani kufikia bi Khadija tuwe wanawake hasa na wale walikuwa na true love ila kumlazimisha mtu akuoe sio sahihi kwasasahiv lakini Kwa mke kunisaidia mume ni kawaida na wapo wachache wanafanya hivo
Aaliyyah we umeshaolewa?
 
Tena ndo awe nalo toto fulani toka familia zetu za kawaida utamu unakuwa wa juu zaidi
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Matako ya watoto wa kishua na Hawa wanaotoka familia za pangu pakavu ni tofaut,?๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Umenena vyema sana mtibeli na wanamume wenye mtazamo huu tuu wachache sana wengi wanaburuzwa na wanawake kama mikokoteni..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ