Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
Kukuvutia kivipi? Kwenye kuimba ama maumbile?
tungependa kuelewa nini chanzo cha kifo chake?wadau toeni data.
Marehemu aliugua kidogo.
Poleni wote ndugu hata mashabiki wa rusha roho.
TUNGEPENDA KUELEWA NINI CHANZO CHA KIFO CHAKE?wadau toeni data.
unakumbuka ile nyimbo ya Marehemu LEYLA KHATIBU ilikuwa inaitwa kama maneno bunduki?
basi siku hizi my favorite amekuwa SABAH MUCHACHO
Acha hizo nawe!!!. Mungu amlaze mahala pema Bi Nasma, Amin.ahh mie namfananisha na yule anti kwenye kipindi cha waoto jioni kwenye TV ZANZIBAR...achukua karatasi zilizochorwa na wattoo kwenye kipindi cha mtoto kwa mtoto kisha anaanza
: Ushaona eeeh basi ukitaka chora shurti uzungushe namna hii eeeh sawa eeeh,
lips zake na za Bi leyla Khatibu hazina tofauti
btw
Namsikiliza ABBAS MZEE hapa nakuambia MAJIRANIII PIA WOTE NI WAZAZI...bwana harus na bi harusi ahhh staki mie
ahh mie namfananisha na yule anti kwenye kipindi cha waoto jioni kwenye TV ZANZIBAR...achukua karatasi zilizochorwa na wattoo kwenye kipindi cha mtoto kwa mtoto kisha anaanza
: Ushaona eeeh basi ukitaka chora shurti uzungushe namna hii eeeh sawa eeeh,
lips zake na za Bi leyla Khatibu hazina tofauti
btw
Namsikiliza ABBAS MZEE hapa nakuambia MAJIRANIII PIA WOTE NI WAZAZI...bwana harus na bi harusi ahhh staki mie