Bi Sandra mbona kam unfollow Rayvan Insta? kulikoni?

Bi Sandra mbona kam unfollow Rayvan Insta? kulikoni?

Hivi unapata faida gani kumchonganisha mtu hasa kwa kutumia hoja za dini? una faidika ninI kuwachafua watu
 
Kuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.

Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.


Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
muda wote mnawaza udini tuuu anzisha lebo yako K wewe
 
Crap, kila kitu kwako udini tuu.
Kama alivyosema mdau hapo juu Dar kuna upungufu wa wanaume.
 
Kuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.

Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.


Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
Lete ubuyu lete ubuyu unajua napendaga kukusoma napunguza machungu ya kummiss warumi
 
Back
Top Bottom