Ghulaam
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 1,861
- 1,461
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahaha au wale wanaosema MWAYA...hua naumia kama wewe mkuuYani mtoto wakiume akiandika vitu kama hivi naumia kwakweli
Usiumie mkuu. Mambo ya kijiweni hayo. Ajira hakuna na vijana walio wengi hawajishughulishiYani mtoto wakiume akiandika vitu kama hivi naumia kwakweli
huyu atakua mzee mama sio mzee baba
mkuu inabidi tusali sana ili kunusuru watoto wa kizazi hikiYani mtoto wakiume akiandika vitu kama hivi naumia kwakweli
Mi mwenyewe huyu jamaa mleta post huwa simwelewi post zake yaani inauma mpaka unafikiria sanaYani mtoto wakiume akiandika vitu kama hivi naumia kwakweli
muda wote mnawaza udini tuuu anzisha lebo yako K weweKuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.
Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.
Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
Mrimbwende.. Mtanashati ni mwanaume..Hahaa aisee. Ajiite Nancy Mtanashati tuu.
Nipe pole mkuu
Lete ubuyu lete ubuyu unajua napendaga kukusoma napunguza machungu ya kummiss warumiKuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.
Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.
Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
Aibu nimeona mimuYani mtoto wakiume akiandika vitu kama hivi naumia kwakweli
Chief.Hiki ndio kikazi cha wanaume wa Dar!Rubbish
Sent by Diaspora