Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
kwani mna maana nyinyi! watu mnaogopa hata buibui...... kiukweli wanaume wa dar are no longer regarded as dick carrying members of the society
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani mna maana nyinyi! watu mnaogopa hata buibui...... kiukweli wanaume wa dar are no longer regarded as dick carrying members of the society
Siku hizi watoto wa kiume wanahitaji uangalizi mkubwa kuliko watoto wa kike.mkuu inabidi tusali sana ili kunusuru watoto wa kizazi hiki
Mkuu we ni demu?kuniambia kitu gani wakati mambo yapo wazi kabisa.
Nenda instagram ukamuangalie kama amemfollow Rayvan.
Sorry mkuu!alinipandisha jazba kweli huyu[emoji23]Chief.
Tafadhali, usituvunjie heshima kwasababu ya huyu ndezi mmoja.
Ahahaaaah.Sorry mkuu!alinipandisha jazba kweli huyu[emoji23]
Sent by Diaspora
Asee mpaka RAY kashangaa mtoa mada umeharibu pakubwa.!!!Haya ulinichamba sN Ukasema nina mambo ya ajab haya sasa ww na bisandra wapi na wapi??
Sent using Jamii Forums mobile app
wanatoka mikoani na mapungufu yao.wakija Dar mnachanganya wote!kwani mna maana nyinyi! watu mnaogopa hata buibui...... kiukweli wanaume wa dar are no longer regarded as dick carrying members of the society
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani mtoto wakiume akiandika vitu kama hivi naumia kwakweli
[emoji23] [emoji23]Yani mtoto wakiume akiandika vitu kama hivi naumia kwakweli
Acha ramli chonganishiKuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.
Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.
Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
Kuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.
Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.
Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
Acha ujinga wew kwani uyo bi Sandra Na mwanae wana uislam upi ?? Ote si makafiri tuKuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.
Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.
Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?