Bi Sandra mbona kam unfollow Rayvan Insta? kulikoni?

Hivi unapata faida gani kumchonganisha mtu hasa kwa kutumia hoja za dini? una faidika ninI kuwachafua watu
 
muda wote mnawaza udini tuuu anzisha lebo yako K wewe
 
Crap, kila kitu kwako udini tuu.
Kama alivyosema mdau hapo juu Dar kuna upungufu wa wanaume.
 
Lete ubuyu lete ubuyu unajua napendaga kukusoma napunguza machungu ya kummiss warumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…