Haswaaaaaah cc angu wa ukweli, tena kwetu kule ndo balaa lol.Usifananishe kitimoto na uchafu
watalaamu wanafiki tu rafiki wakweli ni mdudu na pombe + chigaWataalamu wanasema Kitimoto husababisha Ushoga na pombe husababisha kudhoofu kwa mwili na umaskini.
TakbiiirHivi ukiambiwa uchague Bia na Kitimoto utachagua kipi?
Usije kusema vinaendana pamoja 🤗🤗akili za Naantombe Mushi 🤗🤗🤗
Hahahaa vavieee... kitimoto ya tekla pale kwa mangulwaaa kibokoo. Ila anko wangu sijui kwanini aliacha kaanga wakati mkuu yote pale alikua anakimbizaaKitimoto hata kwa supu ya utumbo au mboriko ya moto haifiki!!
Hilo andiko linasemajeHuwezi kukubali Research ya mtu yeyote kwani uroho wa kitimoto umepofua ufahamu wako kiasi kwamba hata andiko la Biblia linalokataza ulaji wa kitimoto hulioni!!. (Leviticus).
Kama unapinga andiko unaloliamini ni kutoka kwa Mungu mimi nani ukubali nisemacho??!!.
Hilo andiko linasemaje
Kwa hiyo wameumbwa tuwaangalie tuHilo andiko sio tu linakataza kula nyama ya nguruwe bali linakataza hata kushika mzoga wake, andiko linasema:-
You may eat any animal that has a split hoof completely divided and chew the cud----, And the Pig though it has a split hoof completely divided, does not chew the cud; it is unclean for you, you must not eat their meat or touch their carcasses; they are unclean for you,
Leviticus 11 (Walawi 11).
Wewe uzi wako huu ungewalenga watu maalum, sababu baadhi yetu humu kiimaani vitu hivyo viwili ni haraam, haturuhusiwi kuvikaribia na atakae vionja ni kwenda motoni tu tena moto wa jahanam!Hivi ukiambiwa uchague Bia na Kitimoto utachagua kipi?
Usije kusema vinaendana pamoja [emoji847][emoji847]akili za Naantombe Mushi [emoji847][emoji847][emoji847]
Vipi sigara na mirungiWewe uzi wako huu ungewalenga watu maalum, sababu baadhi yetu humu kiimaani vitu hivyo viwili ni haraam, haturuhusiwi kuvikaribia na atakae vionja ni kwenda motoni tu tena moto wa jahanam!
Kumbe hadi bia nayo ni haram?Wewe uzi wako huu ungewalenga watu maalum, sababu baadhi yetu humu kiimaani vitu hivyo viwili ni haraam, haturuhusiwi kuvikaribia na atakae vionja ni kwenda motoni tu tena moto wa jahanam!
View attachment 1827881View attachment 1827882
Kwa hiyo wameumbwa tuwaangalie tu
Hiyo ya nyama ya nguruwe kusababisha hisia za ushoga ni ya kweli???Fisi naye ameumbwa ili aliwe??, simba naye??, funza wa chooni??-- hao wote wanafaa kuliwa??
Kila kitu Mungu kaumba kwa kazi yake ni ujinga au ushenzi na tamaa za nafsi ya binadamu ndio hubadilisha matumizi ya vitu, mfano watu wanapo kaidi agizo la Mungu na kula kitimoto hushikwa na ugonjwa wa Ushoga (kubadili njia halali za kujamiana)--- hapo sasa utaona kosa moja limezaa kosa jingine (a vicious cycle).
Baadhi ya Kazi za nguruwe ni zipi??
1---Nguruwe anaweza kutumika katika kazi za kunusa kwani anao uwezo mkubwa sana wa kutambua harufu kama mbwa.
2--- Kuna baadhi ya nyuzi za operation (surgical stiches) hutengenezwa kutokana na aina fulani ya utumbo wa nguruwe.
3----katika wanyama ni nguruwe tu ambaye viungo vyake kama; Ini, moyo, figo, jicho, kongosho, mapafu nk, vinashabihiana sana na viungo vya binadamu ba hivyo tafiti zimekuwa zikifanywa ili viungo hivyo viweze kutumika kupandikizwa kwa binadamu wenye uhitaji. Hii ni ishara kwamba nyama ya nguruwe inafafanana sana na nyama ya mtu hivyo mtu anayekula nyama ya nguruwe ni karibu sana kusema amekula nyama ya mtu.
4--- Nguruwe ni miongoni mwa wanyama wanaofaa kufanyiwa tafiti mbalimbali za tiba za binadamu, wanyama wengine katika kazi hiyo ni panya buku, Pimbi nk.
5-- Nguruwe ni miongoni mwa scavengers , yaani wanyama wanaokula takataka, kwa maneno mengine nguruwe na fisi ni ndugu katika kadhia hiyo.
6---- Nguruwe anaweza kuwa kionjeo chakula (food tester) kujua kama chakula kinaweza kuliwa na binadamu na kisilete madhara.
7---- Nguruwe ni chakula cha wanyama pori kama Simba, Chui nk, hivyo analeta ecosystem balance.