Bia na kitimoto ipi tamu?

Bia na kitimoto ipi tamu?

Halafu kitimoto ya mkoani ikiwa fresh ni taamu balaaa yaani. Sema wengi hawana maujuzi ya kupika roast lake. Yaaanii ya mkoa haihitaji efforts halaf ni bei chee[emoji23][emoji23] ulisikia bia ni chakulaaa wee mang'aa?

As long as tunaishi na munambagua huyu kiumbe wa Mungu tutamlinda na kumtetea hadi liambaaa[emoji200][emoji200][emoji241][emoji241][emoji179][emoji179][emoji179]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KUFANANISHA NYAMA YA NGURUWE NA HISIA ZA KISHOGA NI UONGO NA TATIZO LA AKILI



GOOGLE PORK AND CHINA UTAPATA MAJIBU
 
Back
Top Bottom