Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana una dhiki sana mkuu. Unaishi wapi huko! Hebu hama maramojaHongera kwa kunywa bia January hii.
Kunywa gongo au ulanzi, bei chee na stimu ile ile.Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Mkuu dhiki tumeumbiwa wanadamu, ngoja nikomae hukuhuku .Inaonekana una dhiki sana mkuu. Unaishi wapi huko! Hebu hama maramoja
Ukitaka umasikini ukung'ang'anie anza kutumia hivyo vitu pombe gani mtu uwe na hela au usiwe unaweza kulewaKunywa gongo au ulanzi, bei chee na stimu ile ile.
Sema wanywaji hujui hata viongozi wako wa dini wanapiga hiii kitu nao unawaita walevi?Duh poleni walevi
Sema wanywaji hujui hata viongozi wako wa dini wanapiga hiii kitu nao unawaita walevi?
Safari ile chupa kubwa ikiuzwa 2500 ni haki jinsi ilivyo tamu!Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Hio biashara yako iko wapi tukuungishe safari lager inakolea sana huku sehemu za baridiYesssss biashara yangu itapamba moto🙂🤣wacha nikatoe mzgo wa store nlojumua bei ya zaman niuze bai mpyaaaa
Karibu sanaaaaa,,ipo nzenge jiran na magereza na getini.😌Hio biashara yako iko wapi tukuungishe
mbona pale kuna tofali🤔Karibu sanaaaaa,,ipo nzenge jiran na magereza na getini.😌
mitaa ile ileeeeeeToa adress mwalukolo
mbona pale kuna tofali🤔
Okay tutakaribia inaweza kua Mara ya kwanza kakutana na Mwana Jf live bila chenga😀mitaa ile ileeeeee