BonventureSr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2023
- 879
- 1,432
Mdau upo vizuri.Huku kwetu safari kubwa 2500 ndogo 2000 hii Bei ni toka mwaka jana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdau upo vizuri.Huku kwetu safari kubwa 2500 ndogo 2000 hii Bei ni toka mwaka jana
ChaiJambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
😂😂😂😂😂😂Safari ile chupa kubwa ikiuzwa 2500 ni haki jinsi ilivyo tamu!
Nitakutafuta, ni uwekezaji kama huu wa kwenye uzi??😀😀 last week nilikua mwisho wa lami pale kwa maharakati fulani fulani ya pimbikukutana muhimu kama unapafaham,,karibu na lile sanamu la sokwe la nia njema.
Muongo🤣Zote zipo,,m sinywi na sijawahi
Getini pale si ndo mwisho wa lami,,we ntafte tu nitakuwepo,,uwekezaji huu huuNitakutafuta, ni uwekezaji kama huu wa kwenye uzi??😀😀 last week nilikua mwisho wa lami pale kwa maharakati fulani fulani ya pimbi
HakikaMuongo🤣
ni utamu fekiKwamba ni sumu
Mkuu mbona kawaida kubwa n 3000 kirikuu au kimini n 2500/ ala n ktoka job lazma n kasain maudhurio kabla sjaenda kuvurugwa akili nyumban, kwa afya ya akili kwa wanaume n bia safar au kili ile ndoa ya kla saa inawaka moto isyo zma kama California bia inatusahulisha tunainjoi na wana 💐💐💐Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Huko agent wake ndio alikua Mama Tema?Kulikua na ka uadimu ka upatikanaji wa safari lager na Kilimanjaro kwa baadhi ya mikoa kama sio wilaya ,hali hii ikapelekea baadhi ya wahuni kuuza hadi Tsh 3,000 kwa bia tajwa hapo.
Ila bei bado ni ile ile hali hii imekua ikijitokeza sana maeneo nilipo Nachingwea,Ruangwa na Liwale.
Kwa upande wa Nachingwea hali hii imekua ikijirudia kwa miaka mitatu sasa baada ya agent wa mwanzo kufunga biashara ,hivo now bia zinauzwa na wachuuzi wadogo wadogo tu.
Fursa kwenu wenye mitaji mikubwa kwa maeneo tajwa haya.
Ukiamua unaacha. Mimi niliacha mwezi Juni mwaka 2024. Sasa tarehe 5 mwezi huu tukawa tunabishana kwamba ukiacha pombe halafu ukajaribu tu ndio unakuwa unakunywa kuliko mara ya kwanza.Kuacha pombe ni ngumu Mungu asaidie
Ili msiharibu pesa 😜Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Yaani saa moja asubuhi umekwisha fika baa na chapati mkononi!Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Kwa kumbukumbu yangu agent halisi simjui jina ila ilikua inaitwa IKO IKO ,Toka afunge huyu mpka leo bia zinakuja kiudalali tu ,hii ni upande wa Nachingwea.Huko agent wake ndio alikua Mama Tema?