Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Acha pombe kabisa utamwona MunguJambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
hazijapanda, bei elekezi ya safari kubwa bado ni 2000/=Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Bagosha una dharau za SGR kwa walevi Ila tambua Kuna walevi na wanywaji..Mlevi ni mlevi tu haina haja ya kuremba jina. Wanywaji ni wa soda na juisi
Kuacha pombe ni ngumu Mungu asaidieAcha pombe kabisa utamwona Mungu
Hata wapandishe mpaka 5000 hatutaandamanaJambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Mbona nimepanda kinyemela? TBL wanataka tuhamie kwenye visungura?Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Vipi wale wanyama pendwa wa Kitambaa Cheupe, Kona Bar, Kimboka etc Bei zikoje?Hata wapandishe mpaka 5000 hatutaandamana
By the way hata mtori umepanda bei sasa hivi bei elekezi ni 3000
Bia hata wauze laki tutakunywa tuu, bajeti ya nyumbani ndio itaathirika! Kwa hiyo tunàomba serikali ifikirie akina mama nà watoto inapoongeza bei yà bia maana walevi hatuathiriki!.Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Haitutishi maana wakati tunaanza ilikua 1300, ikapanda 1500 ikaenda 1800 nado tukawa nayo tu so hata ifike 3,000 hatuta iacha.Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
Kidogo Niku TaGTena inatakiwa ifike bia moja 10000 ili wanywa pombe tupate heshima inayostahili .
Kunywa mwenyewe, ni bia kubwa au ndogoYesssss biashara yangu itapamba moto🙂🤣wacha nikatoe mzgo wa store nlojumua bei ya zaman niuze bai mpyaaaa
Unakunywaje safari kwa 2500 bia ya kibigwa namna hiyo ? Since 1977 kitu kimepikwa kikaiva haswa ,yan ukipate tu kwa dollar moja?Kidogo Niku TaG
Chai kikombe Tshs 300Jambo sijalielewa nimekutana na bei mpya ya bia nilizani ni sehemu moja nilipozunguka sehemu nyingine tofauti ndio nikaja jua bei ya bia zimepanda bei bia yetu pendwa safari ni 2500
kukutana muhimu kama unapafaham,,karibu na lile sanamu la sokwe la nia njema.Okay tutakaribia inaweza kua Mara ya kwanza kakutana na Mwana Jf live bila chenga😀
Zote zipo,,m sinywi na sijawahiKunywa mwenyewe, ni bia kubwa au ndogo
Kwamba ni sumuZote zipo,,m sinywi na sijawahi