Hakuna mtu aliepata hasara baada ya kupata maarifa
Hii Kama Ina ukweli Kama sio una kozi ama vitabu unauza na kutaka kuvuta followers wengi ili uzidi kupiga hela. Mana ulivyoweka hiyo figure kwa sie tunadili na nature ya mind/brain ya binadamu naweza nikaandika hapa mpaka kesho.
Kwanza unataka uwa stimulate watu emotions zao like greed ,and curious kutaka kujua,smt unamtoa rational mind ,then akiwa na irrational or emotionally anapigwa aka anafanywa fursa.
Kitalaamu kusema kipato hadharani ki ethics sio kabisa kwa mtu aliyesoma akawa na maarifa Kama uyasemayo. Mana kutuambia outcome haisadii labda process ndio inayosaidia Mana outcome can random.
Hebu elezea why utoe outcome badala ya process ,na process inakuwa your secret ama Ni harakati za ego inakuendesha unaji boast na unajisikia you can walk on water or kupaa Kama ndege kuwa wengine Ni wajinga.
Kuna yule dogo aliwekaga salio la bank mtandaoni huko twita. Sasa nikasema ngoja na akina Warren Buffet aweke akaunti mtandaoni salio lake ili awa motivate watu ama ma hustlers.
Sija attack Bali nachimba subconscious mind ambayo almost of our 95% of our decisions are being influenced na iyo na sio concious mind.
We're talking about mind including my mind since am normal human being am animal thus am not vulnerable to that human flaws,am not inescapable from our human flaws,am susceptible or subjected too to human weakness like any other human beings.am not special. So let us dig our mind how is doing the whole day decision.
Najua usiponipata nitapata matusi na lugha chafu,ma already prepared mentally so nikiyapata no more pains. Am already immunized my mind from any external interference, I know that if I allow an enemy to enter my mental space the battle is already lost.
Since the greatest in this planet is to conquer my own mind and not the victory from beating and killing 10M soldiers. External victory is temporary but internal victory is permanent.
Twende kazi ama tuongee kuchakata mbususu Mana mind is highly gravitate/attracted to pleasure and highly repelled from pains by any means.
We're talking brain and not you and me. But our mind that we inherited from our mother nature or from ancestors caveman brain. That's reacted fast to any threatened danger to survive. Amin love with human brain.