Njia nyingine ni Freelancing, kutokana kitu unachosoma chuo, unaweza ukaanza kafanya freelancing. Tatizo ni jinsi ya kupata wateja au watu unaoweza kuwafanyia hizo kazi. Kuna platform (website na app) imeanzisha bongo ya freelancing. Ingawa bado mpya (imeanza jumatatu tarehe 17 Sep) lakini nadhani ina potential kubwa sana. Inaitwa ajiras.com
Inachofanya, una register kama seller na kupost kazi yoyote unayoweza fanya na bei yako ikoje. Kuna sehemu ya kuchat ambapo negotiations zina weza fanyika. Watu wanayohitaji hiyo huduma watakutafuta na kununua. Imetengenezwa maalamu kusaidia kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Icheki inaweza kukuvusha.