Biashara ambazo mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kufanya bila kuathiri masomo yake

sounds great...but this ....no thank you....
 
Kuna dada wa Kisomali alianza na kilo mbili za nyama ya mbuzi mwisho aliuza mbuzi mzima kwa siku.
Ana endesha gari, anatime wanafunzi wanatoka darasani container anaziweka kwenye cooler box
1,000 vijana wananunua kuliko usumbufu wa kwenda kupika
sisemi hailipi dada angu ..kitchen stuffs sipoo vzuriii sanaa..afu sina passion nayooo kabisaa yaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…