Sikia mzee baba
mimi nikiwa chuo biashara yangu kubwa ilikua ni kukodisha PAMBA KALI
Mimi nilitoka na nguo zangu kali zote home,yani siku naenda chuo nlienda na begi kama Mkimbizi
ila kichwani nilikua najua WHY,nimefika chuo nilichokifanya ni ku deal na masharobaro,hela hawana ila wanataka kupendeza
nakupa kiatu unaenda unapotaka unaniachia 5000 yangu,kofia,saaa,cheni,miwani hivyo vyote nilianza na Vyangu mwenyewe
na wala sikuanza na vya kununua maana sikua na hela, Hii biashara nilianza kama ku test tu maana nili iga kwa msela angu tulipokua advance ilikua ndio zake (yule mwamba kala hela zangu sana)
Nikajiapia nikifika chuo hii ndio itakua biashara yangu..So kuanzia nikiwa five nilikua nanunua viatu nguo,saa,kofia yani vile vitu ambavyo ukikiona lazima ukitamani.
Mzeee nimefika huko chuo Nilikua Q bOy msafi nakodisha nguo na hela ipo aseeee..
Piga hii ishu kama una viwalo vya kuanzia,ukiwa chuo acha urafiki mandazi
eti shost/mwana anakuja anakugongea nguo Aseee mwambie PESAAAAAAA