Biashara ambazo mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kufanya bila kuathiri masomo yake

ndo nlichokuwa nafanya mimi
 
Habari wana JF,

Naomba kuuliza kwa wale wazoefu, naomba ushauri ni biashara gani nzuri ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni. Ushauri wenu ni muhimu sana, pia nitashukuru na kuyafanyia kazi.

Asanteni.
FOREX TRADING
 
Hujani crush ila mawazo yangu sio ya kimaskini nina hakika. Wakati nasoma sikufanya biashara nilisoma tu nikatumia muda kusoma na sasa mimi si masikini pia maana natumia muda kufanya kazi na biashara na si kusoma simple!
Sio wote wanatokea familia bora kama yako kwamba atapata mahitaji yake yote bila hizo biashara ndogo ndogo, yani asipofanya hizo biashara ndogo ndogo hawezi kujikimu kwenye mahitaji yake na wengine ni passion tu na biashara. mfano nina passion na biashara nilivyokua chuo nimeuza nguo za kiume(wanaume sio wasumbufu) kadet, boksa,vest, mashati, ubuyu wa zanzibar, na nilivyoona pikipiki zinaingia nilimuomba mzee aninunulie pikipiki nikampa mtu kwa wiki napata elfu 50000, na hadi namaliza chuo ni mara chache sana nilirudi kwa mzee kumuomba pesa ya matumizi. Nimemaliza chuo nimeajiriwa na bado weekend ukinikuta na oda zangu za dagaa ninavyokimbizana na mabasi ya mikoani utanishangaa.
 
Kama umepanga geto hakikisha umenunua Flat Tv

nunua king'amuzi cha azam weka magetoni,

mechi za ligi kuu zikianza baba la baba Onyesha mechi kila mwana ataetaka kuja geto chaji jero

wajaze hadi kitandani, washindilie humo ndani vya kutosha,
😂😂😂😂 jamani
 
Umeongea vema sana
 
HII POST NI PUMBA.
 
HII NAYO NI PUMBA INGINE.
 
HII LABDA KWA VYUO VYA HUKO KANTALAMBA,
SIO KWA DAR ES SALAAM.

HATA HIVYO MWANACHUO UJAZE PIPA LA MAJI UKAE NALO HOSTELI ETI USUBIRIE SIKU YAKATIKE ND'O UWAUZIE WENZIO NI IDEA YA KINDEZI!!!
 
HII ATAUZA SANA,
ILA FAIDA YAKE SIO YA KUITEGEMEA KUENDESHEA MAISHA.

VOCHA ZA KURUSHA FAIDA NI SH. 15/= HADI 30/= KWA KILA 500/=.
 
Nunua photocopy machine ndogo kaa nayo room kwako

Pigisha watu copy kla atae hitaji huduma,

baba la baba utakua na shida zoteeeee ila sio shda ya pesa ndogo ndogo.
HAPA ND'O UMEKUJA KUMPA MWONGOZO SASA.

HII ND'O IDEA TIMAMU KATIKA ZOTE ULIZOZITOA HAPA.

MSISITIZO:
ANUNUE PRINTER YA EPSON L382 TU,
NA PC YAKE KWA AJILI YA PRINTING,
AKIPATA NA KAMERA NZURI ANAPIGA NA PICHA ZA AINA ZOTE-
MWENYEWE ATAFURAHI.

ANGALIZO:
USALAMA WA VIFAA VYAKE PINDI AWAPO NJE YA HOSTEL NI CHANGAMOTO,
COZ HOSTEL KUNA WIZI SANA.
 
Zikiibiwa jee?[emoji2]

By pessimist [emoji28]
 
HII ATAUZA SANA,
ILA FAIDA YAKE SIO YA KUITEGEMEA KUENDESHEA MAISHA.

VOCHA ZA KURUSHA FAIDA NI SH. 15/= HADI 30/= KWA KILA 500/=.
sh 15 hadi sh 30 ni kwa vifurushi vya dakika kama extreme na Mini Kabang

ila kwa vifurushi vyote vya internet (MB) sh 500 atapata faida ya sh 50

hujajumlisha ile faida atayoipata kwa kununua salio kwa EPIN.

per day hawezi kosa 5000 huko chuo
 
HII LABDA KWA VYUO VYA HUKO KANTALAMBA,
SIO KWA DAR ES SALAAM.

HATA HIVYO MWANACHUO UJAZE PIPA LA MAJI UKAE NALO HOSTELI ETI USUBIRIE SIKU YAKATIKE ND'O UWAUZIE WENZIO NI IDEA YA KINDEZI!!!
kwako ni ya kindezi
 
HII ATAUZA SANA,
ILA FAIDA YAKE SIO YA KUITEGEMEA KUENDESHEA MAISHA.

VOCHA ZA KURUSHA FAIDA NI SH. 15/= HADI 30/= KWA KILA 500/=.
umeambiwa anaendesha maisha huko chuo?

ameenda chuo kusoma na hajaenda kutafuta maisha

anachotafuta ni kuepuka kusumbua wazazi na kujikimu vitatizo vidogo

Muda wa kuendesha maisha akimaliza chuo ataupata wa kutosha.
 
That good broo ivi tigopesa unaweza fungua kwa bei gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…