Biashara baina ya mataifa ya EAC, Kenya imefanya zaidi ya mara mbili ya Tanzania

Hapa niko naangalia sign za inferiority complex naona zote wakenya wanazo.
Hahah wapo inferior sana, halafu kama walikua wanaichukulia Tanzania poa kiaina hivi, ndio maana wagumu kukubaliana na reality

Hapo juu nimewaonesha namna walivyo na trade deficit kubwa robo ya GDP yao lakini ni kama hawaoni kama hilo ni Tatizo kubwa Sana na hutokea kwenye failed economy

GDP ya Kenya ni fake na imepikwa mno
 
Inferiority complex na kuwa brainwashed ni tatizo kubwa sana kwao, na kujiona wao ndio wao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe meza ilishapinduka kitambo.

Alafu siku hizi siwaoni wakiongelea mambo ya GDP kubwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Inferiority complex na kuwa brainwashed ni tatizo kubwa sana kwao,
Na kujiona wao ndio wao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe meza ilishapinduka kitambo,
Alafu siku hizi siwaoni wakiongelea mambo ya GDP kubwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Elimu ya Tanzania matope tu.

Tangu lini Middle income akawa na inferiority complex kwa LDC? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Stop using English phrases you don't understand.
The meaning of that phrase is the opposite of how you use it.
 
Elimu ya Tanzania matope tu.

Tangu lini Middle income akawa na inferiority complex kwa LDC? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Stop using English phrases you don't understand.
The meaning of that phrase is the opposite of how you use it.
Zero kama hizo zero kwa jina lako,
Nyie wenye elimu nzuri mna kipi cha maana,
Hivi na nyie wakiitwa wenye elimu nzuri mtatoka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mido inikamu ya kwenye makaratasi,
Tanzania inawapa sleepless Sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ona unavyoabudu kingereza,
Pitia hapa angalau mjitibu na hilo tatizo 5 Tips for Treating Inferiority Complex
 

Tanzania - LDC
Rwanda - LDC
Burundi - LDC
.
.
.
South Africa - Middle income
Kenya - Middle income

Utalala vizuri ukijua mnaoshindana nao
Stick to your lane.
 
Tanzania - LDC
Rwanda - LDC
Burundi - LDC
.
.
.
South Africa - Middle income
Kenya - Middle income

Utalala vizuri ukijua mnaoshindana nao
Stick to your lane.
Kenya economy inamililikiwa na wachache wakiwemo wazungu huku wavivu kama wewe mkibaki kusifia sifia ujingaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tanzania ni ldc lakini cha ajabu huduma bora za afya kuliko kenya,
Huduma bora za kijamii kuliko mido inikamu kantrii kunyaland πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mido inikamu kantrii kunyaland failed state inategemea misaada ya chakula karne hii.

Mido inikamu kantrii kunyaland ina madeni kila kona.
 

Enda ukaambie Burundi hayo. Huyo ndiye mnashindana naye.
LDC.
Mmebebewa mpaka akili. Tembea dunia ufunguke.
 
Enda ukaambie Burundi hayo. Huyo ndiye mnashindana naye.
LDC.
Mmebebewa mpaka akili. Tembea dunia ufunguke.
Wewe na huyo Burundi mlichotofautiana tu ni lugha za mazungumzo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ldc but hatupewi misaada ya chakula karne hii kama failed state kenya.

 
Elimu ya Tanzania matope tu.

Tangu lini Middle income akawa na inferiority complex kwa LDC? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Stop using English phrases you don't understand.
The meaning of that phrase is the opposite of how you use it.

Hehehe yaani inferiority complex imepata tafsiri mpya.
 
Huo ni mfano tu kwani nimesema sabuni zimeanza kuzalishwa juzi?
hata huku ni mambo ya muda mrefu lakini yapo effective to date.
https://www.facebook.com/
2019 mnaitana mikutano ya kufunzana kutengeneza sabuni? Kenya watu wanajitengenezea sabuni majumbani kwa kutumia maarifa ya masomo Yao ya sekondari. Nyinyi mnaambiwa Mara nyingi mpo nyuma ya Kenya zaidi ya 2 decades au miaka ishirini na bado mnabisha.
 
That Big GDP does not help kenya export more goods neither does it help kenya import less.
The only thing it fueling the GDP is $60B loans( 4 times more than Tz).
That is why kenya GDP is HotAir, useless statistic. Mambo kwa ground ni different
Bro counter facts with fact ie data vs data usikasirike alafu uanze matusi. Usiwe Kama kina joto la jiwe na babayao ama CCM sycophants.
 
Kama Korosho Ila hela haziwafikii wakulima.
 
Wewe na huyo Burundi mlichotofautiana tu ni lugha za mazungumzo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ldc but hatupewi misaada ya chakula karne hii kama failed state kenya.

LOL mido inkamu kantre πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
LOL fungeni na Universities, colleges, schools zote pia
 
Kama Korosho Ila hela haziwafikii wakulima.
Mazao yote yanayozalishwa Tanzania yanamilikiwa na watanzania 100% sio ninyi mzungu katoka ulaya homeless and landless anakuja Kenya kuwafurusha wenyeji jangwani na kumiliki utajiri wote huku wenyeji wakifa njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…