Biashara endelevu: Nini nini mtumizi na tofauti kati ya Kampuni, Entreprises, Investiment, groups na Limited (Ltd)

Biashara endelevu: Nini nini mtumizi na tofauti kati ya Kampuni, Entreprises, Investiment, groups na Limited (Ltd)

Forecaster

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2013
Posts
201
Reaction score
116
Ni nini tofauti kati ya Majina haya yanapotumika katika baiashara mbalimbali: Kampuni, Entreprises, Investiment, groups, Limited (Ltd)
  • Nini Faida yake katika biashara
  • Utaratibu wake wa usajili
  • Utaratibu wake wa kikodi katika biashara
  • Changamoto zake katika biashara
 
Karibu chianteng limited ni wauzaji wa Truck za HOWO Kwa Bei Nzuri

Pia tunazo SPARE PARTS ZOTE ZA HOWO,

Pia tuna mafundi waliobobea katika utengenezaji wa truck za HOWO.

Karibu sana

📍Tupo Kurasini opposite na Chuo Cha Diplomasia

☎️0748 270 719
Howo-371-dump-truck-for-sale-1-100885.jpg
IMG-20240613-WA0003.jpg
IMG-20240613-WA0005.jpg
 
Ni nini tofauti kati ya Majina haya yanapotumika katika baiashara mbalimbali: Kampuni, Entreprises, Investiment, groups, Limited (Ltd)
  • Nini Faida yake katika biashara
  • Utaratibu wake wa usajili
  • Utaratibu wake wa kikodi katika biashara
  • Changamoto zake katika biashara
Zopo aina mbili za kampuni ambazo ni limited na unlimited,
1)limited ni kampuni ambazo zinasimama zenyewe pasipo kuingilia mmiliki,mfano kama itatokea shitaka mahakamani linalohusu kampuni, litahusu kampuni sio members,pia kama kampuni imekopa ama mazingira yoyote yanayo husu kutaifishwa mali basi mali zitakazohusika ni zile tu zenye usajili wa kampuni na si mali za members.Inaweza kushitaki ama kushitakiwa kama kampuni na si members wa kampuni.
2)unlimited ni kinyume chake,aina hii sio salama kwani kama kutatokea mazingira ya utaifishaji mali na thamani za mdeni hazija kamilika wataanza kukamata mali za members,
Usajili,
Andaa artical of association na memorandum kisha nenda brela.
Thnx
 
Zopo aina mbili za kampuni ambazo ni limited na unlimited,
1)limited ni kampuni ambazo zinasimama zenyewe pasipo kuingilia mmiliki,mfano kama itatokea shitaka mahakamani linalohusu kampuni, litahusu kampuni sio members,pia kama kampuni imekopa ama mazingira yoyote yanayo husu kutaifishwa mali basi mali zitakazohusika ni zile tu zenye usajili wa kampuni na si mali za members.Inaweza kushitaki ama kushitakiwa kama kampuni na si members wa kampuni.
2)unlimited ni kinyume chake,aina hii sio salama kwani kama kutatokea mazingira ya utaifishaji mali na thamani za mdeni hazija kamilika wataanza kukamata mali za members,
Usajili,
Andaa artical of association na memorandum kisha nenda brela.
Thnx
Kwenye ishu ya kushitakiwa au kushitaki kwa limited co, mbona naonaga vyombo vya dola directly vinadeal na mtu binafsi labda mkurugenzi nk wa kampuni..badala ya kuiaddress kampuni..kama ni mahakamani basi kitwe kamphni wao ndio watajua nani aende kuwakilisha au kusikiliza...hapo sijui..mana police wakipelekewa issue wenyewe ni kumtafuta mkurugenzi..na pia mteja wa kampuni kumfata member wa kampuni directly..hope sio sawa
 
Ni nini tofauti kati ya Majina haya yanapotumika katika baiashara mbalimbali: Kampuni, Entreprises, Investiment, groups, Limited (Ltd)
  • Nini Faida yake katika biashara
  • Utaratibu wake wa usajili
  • Utaratibu wake wa kikodi katika biashara
  • Changamoto zake katika biashara
Habari. Katika uwanja wa usajili wa biashara(Tanzania's experience) kuna namna tofauti za unavyoweza kuamua ku'present biashara yako katika mamlaka za usajili wa biashara(BRELA). Sasa ukipeleka biashara yako ni lazma uwe na jina ambalo unahitaji kulitumia na muundo wa usaiji unaotaka kuufanya.
Kuna kusajili jina la biashara ambapo jina hilo linaweza kumilikiwa na kampuni iliyosajiliwa (mfano Mikoani Traders Limited anavyomiliki brand ama business name ya Azania, nk au Said Salim Bakhressa Company Limited inavyoweza kumiliki business name inayoitwa AZAM ICD)lakini pia jina la biashara linaweza kumilikiwa na mtu binafsi yaani wewe na TIN namba yako binafsi unaamua kusajili jina lako la kipekee ili ulitumie kuwakilisha biashara yako, na moja ya vigezo vya kusajili jina la biashara halipaswi kuwa na neno COMPANY ama LIMITED.
Namna ya pili ya usajili wa biashara ni kuwailisha biashara katika mamlaka za usajili wa biashara kama KAMPUNI. Katika kampuni kuna aina nyingi za kampuni lakini aina mbili zikiwa ndizo maarufu zaidi ambazo ni PRIVATE COMPANY LIMITED BY SHARES NA PUBLIC COMPANY LIMITED BY SHARES(PLC).
Sasa hayo majina ya Entreprises, Investiment, groups, traders, nk huwa mtu anayetaka kusajili huamua kuyaweka kulingana na dhima ama uhalisia wa picha ya biashara yake. Yana maana yake katika uhakisia japo inapokuja katika usajili watu wengi huwa hawazingatii maana zake bali huangalia tu namna jina lake litakavyokua likivutia maana hata mamlaka ya usajili hawajali lolote kuhusu maneno hayo. Kikubwa kinachozingatiwa ni kuwa katika kampuni NI LAZIMA JINA LIWE NA NENO LIMITED MWISHONI na katika majina ya biashara HAKUTAKIWI neno COMPANY wala LIMITED mwishoni mwa jina mzizi.
Mfano wewe unaitwa FORECASTER ina maana unaweza kusajili jina la biashara la FORECASTER ENTERPISES, FORECASTER TRADERS, FORECASTER INVESTMENT lakini pia unaweza kusajili kampuni ikaitwa FORECASTER ENTERPISES LIMITED, FORECASTER TRADERS LIMITED, FORECASTER INVESTMENT LIMITED, nk.

Endapo unahitaji kusajili kampuni, jina la biashara, trademarks, hivyo kuhitaji usaidizi katika documentation, TRA E-filing, drafting and online filing kwa gharama nafuu na haraka, usisite kuwasiliana nasi.

+255755963775 calls/WhatsApp
Tunapatikana Ilala Boma, Jengo la Mwalimu House ghorofa ya pili.​
 
Kwenye ishu ya kushitakiwa au kushitaki kwa limited co, mbona naonaga vyombo vya dola directly vinadeal na mtu binafsi labda mkurugenzi nk wa kampuni..badala ya kuiaddress kampuni..kama ni mahakamani basi kitwe kamphni wao ndio watajua nani aende kuwakilisha au kusikiliza...hapo sijui..mana police wakipelekewa issue wenyewe ni kumtafuta mkurugenzi..na pia mteja wa kampuni kumfata member wa kampuni directly..hope sio sawa
Inategemeana na shtaka ambalo kampuni imehusishwa ndio itaamuliwa iwapo mkurugenzi akamatwe ama hatakiwi kukamatwa.
Endapo kampuni imefanya jinai kama vile kughushi risiti au nyaraka, kupiga mtu kwa jina la kampuni, nk basi ni lazima iweze kujulikana ni nani alikua nyuma ya hiyo jinai ambapo kitaalamu inaitwa LIFTING THE VAIL yaani kuchungulia ndani iLI kujua ni nani hasa kafanya jinai husika na ndio hapo unakutana na isuues kama zile za Rugemarila na kampuni yake ya IPTL ama Singh Seth na kampuni yake ya PAP au yule Gasaya na kampuni yake ya JATU.
Kwa masuala YOTE ya madai basi kampuni itawajibika yenyewe kulingana na muundo wake.​
 
Inategemeana na shtaka ambalo kampuni imehusishwa ndio itaamuliwa iwapo mkurugenzi akamatwe ama hatakiwi kukamatwa.
Endapo kampuni imefanya jinai kama vile kughushi risiti au nyaraka, kupiga mtu kwa jina la kampuni, nk basi ni lazima iweze kujulikana ni nani alikua nyuma ya hiyo jinai ambapo kitaalamu inaitwa LIFTING THE VAIL yaani kuchungulia ndani iLI kujua ni nani hasa kafanya jinai husika na ndio hapo unakutana na isuues kama zile za Rugemarila na kampuni yake ya IPTL ama Singh Seth na kampuni yake ya PAP au yule Gasaya na kampuni yake ya JATU.
Kwa masuala YOTE ya madai basi kampuni itawajibika yenyewe kulingana na muundo wake.​
Which means wanHisa wakajitetee au wakaconfirm labda mfano mkataba kutofikiwa makubaliano kadhaa...na kesi ifunguliwe kama jinai mlalamikaji vs individual member au company husika?
 
Which means wanHisa wakajitetee au wakaconfirm labda mfano mkataba kutofikiwa makubaliano kadhaa...na kesi ifunguliwe kama jinai mlalamikaji vs individual member au company husika?
Narudia; kwa makosa ya jinai basi aliyefanya atawajibika yeye mwenyewe hata kama ilifanyika kwa sura ya kampuni lakini kwa upande wa madai kwa issues zote zilizofanywa na kampuni hakuna mwanahisa ama mkurugenzi atakayekamatwa na kushtakiwa bali ni kampuni ndio itawajibika. Wakurugenzi ni wawakilishi wa kampuni tu
 
Narudia; kwa makosa ya jinai basi aliyefanya atawajibika yeye mwenyewe hata kama ilifanyika kwa sura ya kampuni lakini kwa upande wa madai kwa issues zote zilizofanywa na kampuni hakuna mwanahisa ama mkurugenzi atakayekamatwa na kushtakiwa bali ni kampuni ndio itawajibika. Wakurugenzi ni wawakilishi wa kampuni tu
Nakupata..na uelewa wangu ilikuwa ni ikiwa business ikafanyika kikampuni kwa mana ya mkataba baina ya mteja na kampuni na hata malipo ni mreja vs kampuni...ila Bahamian mbaya itokee sintofahamu ya kushindwa kimkataba...member anahusika directly sababu tu ni alihusika kwenye signing nk
 
Nakupata..na uelewa wangu ilikuwa ni ikiwa business ikafanyika kikampuni kwa mana ya mkataba baina ya mteja na kampuni na hata malipo ni mreja vs kampuni...ila Bahamian mbaya itokee sintofahamu ya kushindwa kimkataba...member anahusika directly sababu tu ni alihusika kwenye signing nk
Hapana mkuu, mkurugenzi ni shahidi tu maana ndio msimamizi. Kampuni inafanya kazi kupitia wakurugenzi wake, na ndio maana ukihitaji kujua lolote basi mkurugenzi ndio mtu sahihi
 
Zopo aina mbili za kampuni ambazo ni limited na unlimited,
1)limited ni kampuni ambazo zinasimama zenyewe pasipo kuingilia mmiliki,mfano kama itatokea shitaka mahakamani linalohusu kampuni, litahusu kampuni sio members,pia kama kampuni imekopa ama mazingira yoyote yanayo husu kutaifishwa mali basi mali zitakazohusika ni zile tu zenye usajili wa kampuni na si mali za members.Inaweza kushitaki ama kushitakiwa kama kampuni na si members wa kampuni.
2)unlimited ni kinyume chake,aina hii sio salama kwani kama kutatokea mazingira ya utaifishaji mali na thamani za mdeni hazija kamilika wataanza kukamata mali za members,
Usajili,
Andaa artical of association na memorandum kisha nenda brela.
Thnx
Nakushukuru sana Mkuu gimmys kwa ufafanuzi huu...
 
Habari. Katika uwanja wa usajili wa biashara(Tanzania's experience) kuna namna tofauti za unavyoweza kuamua ku'present biashara yako katika mamlaka za usajili wa biashara(BRELA). Sasa ukipeleka biashara yako ni lazma uwe na jina ambalo unahitaji kulitumia na muundo wa usaiji unaotaka kuufanya.
Kuna kusajili jina la biashara ambapo jina hilo linaweza kumilikiwa na kampuni iliyosajiliwa (mfano Mikoani Traders Limited anavyomiliki brand ama business name ya Azania, nk au Said Salim Bakhressa Company Limited inavyoweza kumiliki business name inayoitwa AZAM ICD)lakini pia jina la biashara linaweza kumilikiwa na mtu binafsi yaani wewe na TIN namba yako binafsi unaamua kusajili jina lako la kipekee ili ulitumie kuwakilisha biashara yako, na moja ya vigezo vya kusajili jina la biashara halipaswi kuwa na neno COMPANY ama LIMITED.
Namna ya pili ya usajili wa biashara ni kuwailisha biashara katika mamlaka za usajili wa biashara kama KAMPUNI. Katika kampuni kuna aina nyingi za kampuni lakini aina mbili zikiwa ndizo maarufu zaidi ambazo ni PRIVATE COMPANY LIMITED BY SHARES NA PUBLIC COMPANY LIMITED BY SHARES(PLC).
Sasa hayo majina ya Entreprises, Investiment, groups, traders, nk huwa mtu anayetaka kusajili huamua kuyaweka kulingana na dhima ama uhalisia wa picha ya biashara yake. Yana maana yake katika uhakisia japo inapokuja katika usajili watu wengi huwa hawazingatii maana zake bali huangalia tu namna jina lake litakavyokua likivutia maana hata mamlaka ya usajili hawajali lolote kuhusu maneno hayo. Kikubwa kinachozingatiwa ni kuwa katika kampuni NI LAZIMA JINA LIWE NA NENO LIMITED MWISHONI na katika majina ya biashara HAKUTAKIWI neno COMPANY wala LIMITED mwishoni mwa jina mzizi.
Mfano wewe unaitwa FORECASTER ina maana unaweza kusajili jina la biashara la FORECASTER ENTERPISES, FORECASTER TRADERS, FORECASTER INVESTMENT lakini pia unaweza kusajili kampuni ikaitwa FORECASTER ENTERPISES LIMITED, FORECASTER TRADERS LIMITED, FORECASTER INVESTMENT LIMITED, nk.

Endapo unahitaji kusajili kampuni, jina la biashara, trademarks, hivyo kuhitaji usaidizi katika documentation, TRA E-filing, drafting and online filing kwa gharama nafuu na haraka, usisite kuwasiliana nasi.

+255755963775 calls/WhatsApp
Tunapatikana Ilala Boma, Jengo la Mwalimu House ghorofa ya pili.​
Mkuu Bxb nakushukuru sana kwa madini haya na ufafanuzi huu .....
 
Hapana mkuu, mkurugenzi ni shahidi tu maana ndio msimamizi. Kampuni inafanya kazi kupitia wakurugenzi wake, na ndio maana ukihitaji kujua lolote basi mkurugenzi ndio mtu sahihi
Got you mkuu...asante. Mkurugenzi ni shahidi ktk any business deal done under his company, na sio police kupambana direct na kumshikilia mkurugenzi au meneja kuhusu ujinai au madai husika d
 
Back
Top Bottom