Biashara endelevu: Nini nini mtumizi na tofauti kati ya Kampuni, Entreprises, Investiment, groups na Limited (Ltd)

Namba Moja upo sahihi japo ningeenda ku qualify kidogo. Limited company zimegawanyika sehemu mbili, private limited company na public limited company na ndo aina za company pekee tulizonazo kwa sasa, unlimited liability company imeshafutwa kisheria.
 
Ok
 
Got you mkuu...asante. Mkurugenzi ni shahidi ktk any business deal done under his company, na sio police kupambana direct na kumshikilia mkurugenzi au meneja kuhusu ujinai au madai husika d
Mkuu naona kuna kitu hujanielewa naomba nirudie tena
1. KWENYE MASUALA YOTE YA MADAI hakuna mkurugenzi ambaye atawajibika kibinafsi bali ni kampuni itawajibika na mkurugenzi atakua ni shahidi tu
2. KWENYE MASUALA YA JINAI(Uhujumu uchumi mfano wale waliopewa tenda za ujenzi wa barabara wakashindwa kukamilisha, kugushi nyaraka, nk) hapo ndio mkurugenzi unaweza KUKAMATWA na kuwajibishwa individually
 
Umeelezea vizuri sana mkuu.
Ila naomba kuuliza swali moja kwa ajili ya kuongeza uelewa zaidi.
Kwa mfano niko na duka langu nauza bidhaa kihalali kwa maana niko na Tin number na Leseni.
Sasa ninapokwenda tena Brela kusajili jina la biashara yangu ni nini manufaa/faida yake?
Na swali lingine nimeona kuna mahali umegusia kwamba kulikuwa na muundo wa kampuni japo umefutwa unaitwa Unlimited Liability company je hii ilikuwa ikoje na inafanyaje kazi?
 
Shukran sana kwa kutokuchoka kumuelewesha mdau. Naona mdau ni ima slow learner au alikuwa anajaribu kuvutia sheria impe favor upande wake.
 
Shukran sana kwa kutokuchoka kumuelewesha mdau. Naona mdau ni ima slow learner au alikuwa anajaribu kuvutia sheria impe favor upande wake.
Vema kabisa..no 2 hapo kwenye Jinai, nmeshaona mara kadhaa , kabla haijawa madai, mkurugenzi anakamatwa individually kwa kosa la jinai, labda la kimkataba baina ya mteja na kampuni, je hapo wapo sawa?, manake baada ya hekaheka inajulikana kuwa mteja anadai fidia au pengine kurejeshewa pesa ambayo mkataba ulishindikana..je hii haiingii kwenye ushauri no 1? (Tusaidiwe maslow learners)
 
Masuala ya kimkataba kimsingi huwa mashauri ya MADAI labda kwa uchache sana ukute inaangukia kwenye jinai. Ikitokea mkurugenzi amekamatwa kwa masuala ya kimadai ya kampuni ni eidha wakamataji hawajafuata/hawajui taratibu ama ni hujma amefanyiwa mkurugenzi.
 
Wanakamata kijinai..ila kule yakianza maelezo kukaonekana kulikuwa na mkataba ndo yanapogeuka madai ila tatizo mtu anakuwa ashasumbuliwa na zile hekaheka za police kulala ndani..sijui inakuwaga makusudi ya police au mhusika kutojua akiwa na mkataba uliovunjika anatakiwa aende wapi..mana akienda police wakiona ishu imekaa kipesa pesa wanaweza kushikilia kama jinai..hapo ndipo usumbufu
 
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…