Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Biashara ya dhahabu siyo kihivyo kama unavyoambiwa nenda kote wanakonunu bei haitofautiani sana na ya duniani, anayekwambia kuna faida kubwa labda uwe ubachimba na kuuza mwenyewe au unanunua kwa watu unaowachimbisha wewe huko porini vinginevyo acheni kudanganya watu
 
Nimependa huu mjadala but nashauri mtu anapotoa wazo usiliponge kwa kejeli but jenga hoja ni vipi hiyo idea aijengi ili kumwezesha aliyetoa hoja zaidi kufunguka na mwisho wa siku ipatikane solution
Sipend pesa ya ndugu yangu huyo ipotee,ndomana kwa msisitizo narudia,akitaka fanya hii biashara atafte mentor kwanza halaf aanze na mtaj wa lak5 tuu,..asiweke hyo mil12,itakwenda na maj
 
Hatapataje experience kama ajaingia filed kupractice?
Aanze na mtaj mdogo sana hata wa lak5,na sio aanze na mil12 ambayo ndo hela yake ya ngama na pekeee,mtampoteza mwenzenu kwa kumpa shaur ambazo watoaj wa shaur hzi hata hii biashara hawaijui,wanaskia tu makinikia ,mara madini yana pesa,stor za vijiwen,ingia field au nenda vijiwe vya watu wa madin halaf wakuskie et unataka weka mil12,watakuchapa kijana
 
Unafanya biashara gani inayokuungizia hiyo hela?
 
Kuna chuo cha kujifunzia expirience?
 
Wewe ndio hujui kitu kabisa, bora uwe unasoma tu comments za watu.Sisi tunazungumzia dhahabu mbichi,unaleta habari ya soko la dunia,dah kazi sana
 



Hii ndiobei ya dhahabu leo kutoka kitco gold, kwa troy ounce moja. Ni dola
BID ASK +/- %
1274.50 1275.50
 
Wewe ndio hujui kitu kabisa, bora uwe unasoma tu comments za watu.Sisi tunazungumzia dhahabu mbichi,unaleta habari ya soko la dunia,dah kazi sana
Nipo Chunya we uko wapi! Unakowadanya wenzio kuwa ni biashara ya faida kubwa? Usijifanye mjuaji kijana kwa vitu vya kufikirika kodi katika gross value ni 12% na bei haitofautiani sana naya Duniani
 
Wewe ndio hujui kitu kabisa, bora uwe unasoma tu comments za watu.Sisi tunazungumzia dhahabu mbichi,unaleta habari ya soko la dunia,dah kazi sana
Hiyo dhahabu mbichi huwezi kuipata kijingajinga tz hii kwa miaka hii kila wanapochimba kuna wanunuzi ambao ndio wafadhili wao we kama hufadhili uchimbaji dhahabu labda upate ya wizi
 
Nipo Chunya we uko wapi! Unakowadanya wenzio kuwa ni biashara ya faida kubwa? Usijifanye mjuaji kijana kwa vitu vya kufikirika kodi katika gross value ni 12% na bei haitofautiani sana naya Duniani

Live Metal Spot Prices (24 hours)
Gold Spot Prices Gold Price Today Spot Change
Gold Price Per Ounce $1,278.10 $8.50
Gold Price Per Gram $41.09 $0.27
 
Nipo Chunya we uko wapi! Unakowadanya wenzio kuwa ni biashara ya faida kubwa? Usijifanye mjuaji kijana kwa vitu vya kufikirika kodi katika gross value ni 12% na bei haitofautiani sana naya Duniani
Upo chunya ipi, makongolosi, matundasi, saza, mbangala, au wapi. Acha ujuaji. Hiyo 12% ni kwa wenye leseni, hapa tunazungumzia anayenunua kwa wachimbaji wadogo na kumuuzia mwenye leseni anayesafirisha nje. Huko chunya dhahabu zipo bila hata kudhamini shimo. Acha siasa
 
Hata wewe kwasasa utakapoenda kuuza dhahabu lazima ulipe kama hulipishwi inamaana hata huyo anayenunua dhahabu yako anakwepa kodi kuna siku utaumbuka
 
Biasha ya hii ni nzuri ila inachangamoto nying sana kumpata mtu mwaminifu ni kazi sana nadhani ile kushika hela nyingi wanajikuta wanainhia tamaa

Pili utapeli na viini macho mimi nilidhapoteza hela mingi sana.

Wezi na ujambazi inabidi uajiri mlinzi tena wakampuni kwani vizi ukitokea kampuni inakuwa responsible.
 
Hapa tunsdiscuss mbangaizaji wa dhahabu,siomwenye mtaji mkubwa ndio tofauti ya mjadala
 
Wewe hujui sheria ya madini. Hairuhusiwi kumtoza mtu mrabaha,wala kodi yeyote,isipokuwa mwenye leseni inayostahili. Nenda kasome MINING ACT 2010
Kasome kifungu kifungu cha VI cha hiyo sheria 1-4 wameandika na adhabu zake kwanza huruhusiwi kujishughulisha na shughuli za madini kama huna leseni ukikamatwa madini yanachukuliwa na unashtakiwa we jipe moyo na ujuha wako huo
 
Kasome kifungu kifungu cha VI cha hiyo sheria 1-4 wameandika na adhabu zake kwanza huruhusiwi kujishughulisha na shughuli za madini kama huna leseni ukikamatwa madini yanachukuliwa na unashtakiwa we jipe moyo na ujuha wako huo
Basi kama hivyo wachimbaji wadogo wote wakamatwe wapewe adhabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…