Kamawewe
JF-Expert Member
- Jan 16, 2013
- 533
- 521
Mkuu hii kauli Siku za nyuma nilikuwa ninaidharau, lakini ina maana kubwa sana.Biashara yoyote ile ina faida. Ni namna ya kuweka strategies na location nzuri basi.
Kuna siku nilikuwa ninaangalia video ya speaker mmoja wa TED x talks.
Jamaa alianza kutoa mifano mingi ya business ideas ambazo mwanzo utawanza haiwezekani lakini kwa kufikiri creatively akatoa posible alternatives.
Jamaa ni mjasiriamali lakini alinisaidia sana hadi sasa kutekeleza mambo yangu na kutatua matatizo yangu.