Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Umeenda mbali sana, ukiwa mnunuzi wa dhahabu mbichi unahitaji mzani tu, labda laki mbili. Dah sijue nifafanue vp.


Tufanye ana 5m.

1g of gold=65,000Tsh
5m/65,000=76.92g
Ubora/purity=86%
Bei=86,000Tsh kwa wenye leseni
Mauzo=76.92g*86%*86,000=5,689,230,

Hata ukipandilia bei akanunua kwa 70 au 72 bado anapata hiyo faida
Mkuu msimuingize huyo jamaa kwenye kununua dhahabu,atauziwa unga wa makufuli yaliyosagwa
 
mimi ni nomad,ila napitapita kahama kwasababu kuna jamaa zangu huko,
sasa hapo kahama hulipuka machimbo ya dhahabu mara kwa mara na watu kutoka sehemu mbalimbali wanakuja ama kuchimba au kununua dhahabu,ama kufanya biashara yeyote eneo husika kuanzia vyakula,vinywaji ama hata gest,
nipasema gest ni gest zile za either batiama turubai,watu wanakodi ardhi kwa bei cheap na kusimika biashara,hakuna vitanda ni godoro tu zile cheap na watu wanapiga hela mno,kila biashara pale inatoka labda kasoro nguo,
lakini biashara za vyakula,pombe,maji,fag,condom etc utauza mno.
Sasa nje kidogo ya mji wa kahama kuna hayo machimbo ambayo ndo sasa yako chati,wakazi wengi wa kahama mjini sasa huko ndo chimbo lao la pesa,na huko ndo unakuta watu wana mitaji midogo tu nao wananunua dhahabu,
wengine wanauza vinywaji,pombe,maji etc
hahaha umenikumbusha kipindi fulani nilienda kwenye machimbo ya dhahabu Karenge Kigoma nikalala kwenye gest ya mifuko ya cement......sahani moja wali maharage elfu tatu....dah
 
Ahhj hapana,ujue kuna muda tunatokaga kwenye site tumechoka so hua tunaongea upuuz sana hum,mtu anaeza dhani si watu wa maana,ila,ni watu wenye status zetu za maana sana,so nkiweka details hapa,itakua shida,af mi pale udsm nilikua maaruf sana,watu wakijua ndo mim,itakua noma,..this site is for havin fun,to me lakin,
Ww utakuwa mhaya ww maana si kwa mijisifa hiyo
 
Watu wengi humu tunaropoka tu kuhusu biashara lakini kiuhalisia wengi wetu hatuna hata biashara ya mtaji wa genge la nyanya.

Mleta mada ameweka wazi kabisa kuwa..
1/Anao mtaji wa shilingi milioni 9-12.
2/Anataka kupata faida ya shilingi Laki tatu kwa siku.

Tuwe wakweli na wawazi, hicho kitu kiujumla hakiwezekani katika mazingira ya kawaida ya kibiashara nyingi hapa Tanzania labda iwe ni mambo ya bahati nasibu, kubet na kupiga dili tata.

Kwa mfano mtu anasema akanunue madini machimboni ili kuja kuyauza mjini. Kwa mtaji wa milioni 10, maana yake atanunua dhahabu ya milioni 10 na kuweza kuja kuiuza milioni 15 kwa makisio ya juu sana(kitu ambacho sio rahisi pia), hivyo faida ni milioni tano. Lakini hiyo sio bidhaa ya kuuzwa kama nyanya ambapo kila siku watu watanunua, na hupitia mchakato mrefu huku ikitumia siku kadhaa na mnyororo wa wafanyabiashara kadhaa. Hivyo faida ya laki tatu kwa kila siku hiyo ni hadithi pia.
Mbona kama unatumia nguvu nyingi kuelezea point zako hizo...msikatishe watu tamaa ...kuna watu tena wanfanya biashara halali na wanapata hio faida ..kila mtu ana mipangokazi yake ailyojiwekea ..sasa wewe nani unayejua location zote za kibiashara hapa tanzania yote hadi usemee hamna mtu anayeingiza hio faida...acha hizo
 
Watu wengi humu tunaropoka tu kuhusu biashara lakini kiuhalisia wengi wetu hatuna hata biashara ya mtaji wa genge la nyanya.

Mleta mada ameweka wazi kabisa kuwa..
1/Anao mtaji wa shilingi milioni 9-12.
2/Anataka kupata faida ya shilingi Laki tatu kwa siku.

Tuwe wakweli na wawazi, hicho kitu kiujumla hakiwezekani katika mazingira ya kawaida ya kibiashara nyingi hapa Tanzania labda iwe ni mambo ya bahati nasibu, kubet na kupiga dili tata.

Kwa mfano mtu anasema akanunue madini machimboni ili kuja kuyauza mjini. Kwa mtaji wa milioni 10, maana yake atanunua dhahabu ya milioni 10 na kuweza kuja kuiuza milioni 15 kwa makisio ya juu sana(kitu ambacho sio rahisi pia), hivyo faida ni milioni tano. Lakini hiyo sio bidhaa ya kuuzwa kama nyanya ambapo kila siku watu watanunua, na hupitia mchakato mrefu huku ikitumia siku kadhaa na mnyororo wa wafanyabiashara kadhaa. Hivyo faida ya laki tatu kwa kila siku hiyo ni hadithi pia.
Asante kiongozi nimekuelewa vizuri,vipi biashara ya chakula?.
 
Mbona kama unatumia nguvu nyingi kuelezea point zako hizo...msikatishe watu tamaa ...kuna watu tena wanfanya biashara halali na wanapata hio faida ..kila mtu ana mipangokazi yake ailyojiwekea ..sasa wewe nani unayejua location zote za kibiashara hapa tanzania yote hadi usemee hamna mtu anayeingiza hio faida...acha hizo
Kuna jamaaa niliwahi mtembelea mkoani Tabora(Nzega) anauza nafaka,aliniambia kwa siku faida anayopata akipata ndogo ni 250K,na nilijaribu kukaa pale kuangalia mzunguko wa biashara yake kiukweli anauza sana.Sema ndio hivo kaanza kuuza nafaka tangu 2007,kwahiyo ana miaka kumi sokoni.
 
Kama biashara ni hasara tu bila faida, inakuwaje iwe bado inafanyika? Wewe unaweza fanya biashara yenye hasara tupu bila faida?
Kwa mfanya biashara akifanya biashara yakula inamuingizia pesa yakula bila kuleta faida ya juu baada yakutoa matumizi hio nisawa na hasara.
 
Mkuu naona umeingia JF kwa gia ya mamba! Ukiwakosa kwenye madini badi unawadaka kwenye udalali wa viwanja!
Mimi sio dalali, madini ni biashara yangu, Kiwanja ni changu nimenunua 2013, saivi nimepata shida ndio nakiuza
 
Watu wengi humu tunaropoka tu kuhusu biashara lakini kiuhalisia wengi wetu hatuna hata biashara ya mtaji wa genge la nyanya.

Mleta mada ameweka wazi kabisa kuwa..
1/Anao mtaji wa shilingi milioni 9-12.
2/Anataka kupata faida ya shilingi Laki tatu kwa siku.

Tuwe wakweli na wawazi, hicho kitu kiujumla hakiwezekani katika mazingira ya kawaida ya kibiashara nyingi hapa Tanzania labda iwe ni mambo ya bahati nasibu, kubet na kupiga dili tata.

Kwa mfano mtu anasema akanunue madini machimboni ili kuja kuyauza mjini. Kwa mtaji wa milioni 10, maana yake atanunua dhahabu ya milioni 10 na kuweza kuja kuiuza milioni 15 kwa makisio ya juu sana(kitu ambacho sio rahisi pia), hivyo faida ni milioni tano. Lakini hiyo sio bidhaa ya kuuzwa kama nyanya ambapo kila siku watu watanunua, na hupitia mchakato mrefu huku ikitumia siku kadhaa na mnyororo wa wafanyabiashara kadhaa. Hivyo faida ya laki tatu kwa kila siku hiyo ni hadithi pia.
mzee inawezekana kabisa akiwekeza kwenye uvuvi.
kuna mda wanapta mpka lki tano
 
Tafuta sehemu yenye watu wengi (kipato cha kati) fungua duka muhimu la dawa (ADO) utapiga mzigo ila simamia kikamilifu kama huna hiyo taaluma mtafute mwenye cheti cha ADO
 
Kama uko dar ingia kwenye biashara ya vitafunwa especially chapati na maandazi ila fanya chai ya rangi bure.Fanya iwe mobile kitchen kwenye gari kama kirikuu au hiace kukuu ambayo unaweza pata hata kwa m3 .Gari yako asubuhi inaenda kutega kwenye centre zenye watu wengi kama kariakoo,mbagala,posta,ilala etc.

Target yako inakua ni kuuza chapati 400 kwa sh 500 na maandazi 200 kwa sh 200 kila siku asubuhi.Target ya hiyo faida utaifikia tu.
 
Biashara ya chakula ndiyo sahihi kwa hapa Tanzania. Kuna wanadamu mil 55+ Tanzania ambao midomo yao mil 55+ ina njaa kali. Tumia hiyo fursa kuilisha. AZAM ANAPIGA GAP HAPO TU.
 
Back
Top Bottom