Mkuu hii kauli Siku za nyuma nilikuwa ninaidharau, lakini ina maana kubwa sana.Biashara yoyote ile ina faida. Ni namna ya kuweka strategies na location nzuri basi.
Nakuelewa sana Mkuu sababu mim mwenyewe , nipo hapa mitaa ya GEITA hiyo milioni 9 inatosha sana.Umeenda mbali sana, ukiwa mnunuzi wa dhahabu mbichi unahitaji mzani tu, labda laki mbili. Dah sijue nifafanue vp.
Tufanye ana 5m.
1g of gold=65,000Tsh
5m/65,000=76.92g
Ubora/purity=86%
Bei=86,000Tsh kwa wenye leseni
Mauzo=76.92g*86%*86,000=5,689,230,
Hata ukipandilia bei akanunua kwa 70 au 72 bado anapata hiyo faida
Tafadhari mimi naomba unifahamishe hiyo shughuri inayokuingizia elfu 30-40 kwa sikuWakuu mimi ni mjasilimali mdogo tu ambae kwa siku naweza tengeneza faida ya kuanzia elfu 30 or elfu 40. Sasa kwa sasa natafuta biashara ambayo inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa siku.Na vimiradi viwili ambavyo vinaniingizia hiyo pesa.
Mtaji uliopo ni kati ya (9/12 Million).Hii biashara nahitaji niisimamie mie mwenyewe.
Nimejitahidi kusoma forex, BTC lakini naona kichwa changu ni kigumu kuelewa .
Napokea ushauri wowote ila isipokuwa wa kuwekeza kwenye kilimo. Na pia wa kufanya biashara ya kushirikiana na mtu(kugawana share).
Karibuni kwa mawazo.
Kasema ana Soloon mbili na DukaTafadhari mimi naomba unifahamishe hiyo shughuri inayokuingizia elfu 30-40 kwa siku
Muwa mmoja shambani ni Tsh.200-300, huo muwa mmoja unatoa vifuko 2 mpaka 3. Kula mchana cyo lazima kikubwa asubuhi kula kama mfalme mchana kunywa maji kama mtumwa kisha piga kaziHiyo 50000 bila shaka ni mauzo! Hapo faida (baada ya kuondoa gharama) ni sh ngapi? Kumbuka chakula chako, na gharama ya muuzaji hata kama ni mwenyewe ni sehemu ya gharama!
[emoji121]Kiongozi nimefata pm unisaidie kitu
[emoji121]Mkuu watanzania wengi wanafeli kwa kuogopa kujaribu. Nimejaribu kufuatilia maelezo yako, inaonyesha kwa dhati ya moyo wako umejitoa kusaidia lakini kwa ugumu wa watu wanaogopa kujaribu ni kama unampigia gitaa mbuzi. Mimi nitakutafuta inbox mkuu ili unielekeze vzr japo sie niliyeomba ushauri, lakini naona ufahamu wako unaweza kusaidia watu humu.
Dhahabu kama uzifahamu vizur itakula kwakoUmeenda mbali sana, ukiwa mnunuzi wa dhahabu mbichi unahitaji mzani tu, labda laki mbili. Dah sijue nifafanue vp.
Tufanye ana 5m.
1g of gold=65,000Tsh
5m/65,000=76.92g
Ubora/purity=86%
Bei=86,000Tsh kwa wenye leseni
Mauzo=76.92g*86%*86,000=5,689,230,
Hata ukipandilia bei akanunua kwa 70 au 72 bado anapata hiyo faida
Saloon za like au za kiume Mkuu?Mkuu saluni mbili zote kwa pamoja nachukua laki na 60 kwa wiki.Kiduka ndio kinaniletea hiyo faida 30/40 sema pesa ya saluni huwa siitumii kwa shughuri yeyote hii baada yakuiweka ndio imeleta hio pesa 9/12M.Kiduka nakitumia kuendeshea maisha yangu nandio kinatengeneza hiyo pesa 30/40 per day.
Sio Rahisi kama ulivyo andika
OK ahsante nashukuruHii yangu ni kiduka cha nafaka tu, yaan nauza mchele,sukari, ngano, sembe, dona na soda.
Ila ka site kamezungukwa na mama ntilie kibao na hao ndio wateja wangu wakubwa.
unatosha sana kwa dhahabu wala sio mdogo unaweza ukaanza hata kwa laki mbili issue ngumu kwenye dhahabu ni kuifahamu dhahabu yenyewe...lindi kuna maeneo unapata dhahabu hadi 45 elfu kwa Gram na unaweza kuiuza hapo hapo kwa 65-80 elfuHuo mtaji mdogo sana kwenye dhahabu
nipe ramaniunatosha sana kwa dhahabu wala sio mdogo unaweza ukaanza hata kwa laki mbili issue ngumu kwenye dhahabu ni kuifahamu dhahabu yenyewe...lindi kuna maeneo unapata dhahabu hadi 45 elfu kwa Gram na unaweza kuiuza hapo hapo kwa 65-80 elfu
Kwani mkuu ulisikia mtu anapata faida ya elfu kumi kwa siku anakuwa anajiuzia mwenyewe?.Mi nafikiri faida ya biashara inavary siku to siku kulingana na demand ya wateja, io ya kusema laki tatu kwa siku kwani unajiuzia mwenyeme
Mwaga Nondo mkuuunatosha sana kwa dhahabu wala sio mdogo unaweza ukaanza hata kwa laki mbili issue ngumu kwenye dhahabu ni kuifahamu dhahabu yenyewe...lindi kuna maeneo unapata dhahabu hadi 45 elfu kwa Gram na unaweza kuiuza hapo hapo kwa 65-80 elfu
Sio biashara zote ni faida, nyingi kwa sasa ni hasara tupu.Biashara yoyote ile ina faida. Ni namna ya kuweka strategies na location nzuri basi.
Kama kufanya urafiki na John, hiyo nayo ni Biashara japo ina hasara tu.Sio biashara zote ni faida, nyingi kwa sasa ni hasara tupu.